Kwanini condoms zinakaa tatu?

Mara nyingi huwa najiuliza kwanini condoms zipo tatu.
Zipo tatu kwa sababu
Ya kwanza ikipasuka kwa bahati mbaya unavaa ya pili, ingekuwa moja watu wengine wangepiga kavu kama hiyo ya kwanza ina pasuka kwahiyo ya pili ni mbadala ya kwanza
Ya tatu kazi yake ni raindi 2,,,, kwa wale wenye nguvu zao.... Kwa wale wa bao moja tu wataitumia cku nyingine
 
ZikoTatu (3) kwa sababu ya mgawanyo huu mkuu...
1 Unavaa kichwani
2 Unavaa miguuni ndo maana zinaitwa Soksi.
 
Tumia Moja ili kupunguza soo ya kwenda Dukani mara kwa Mara maana wengi wakienda Dukani wakikuta watu wanaagiza Biscuti
 
Kwa kawadia ushindi wakishindo ni goli 3 iwe kitandani au uwanjani" kiafya.
4/5 nikujichosha
 
Wanaume wengi hawna nguvu za kuzidi tatu hasa uko ulaya
 
Ukipata jibu unistue...
Kondom ni mpira laini uliotengenzwa kwa ajili ya kuchezea mechi za kikubwa kitandani.mpira huo huweza kizuia magonjwa na mimba zisizo tarajiwa. NB.jiandae kwa practice at a momentπŸ˜‘πŸ˜€
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…