Kwanini Congo DRC?

 
Congo wapuuzi na anayetetea upuuzi upuuzi naye yupo kwenye kundi moja sehemu nyingi tu duniani zina mali nyingi na zina amani
 
Dogo anakichwa kizito alafu sijui mtu unasmart phone na kuna ma AI kibao ila bado mtu unakuta yuko slow namna hii,bure kabisa!!!
 
Cobalt ndio Madini muhimu sasa hivi, muhimu kushinda hata mafuta, Bila cobalt hakuna Magari ya Umeme, hakuna iphone, hakuna Laptop, hakuna, redio, hakuna AC hakuna kifaa chochote cha electronic.
Usije ukazungumza huu ujinga mbele ya watu wenye akili, watakuona kilaza sana.
 
Vita ya Congo haijaanza leo, vita vya DRC vimeanza kabla hata ya uwepo wa smartphones, laptops na magari ya umeme.
Ni same Madini, Electronic sio simu tu. Cobalt inatumika kwenye circuit za motherboard na battery, hadi redio za kizamani zimetumia cobalt. Kifupi Cobalt imeanza kuchimbwa since enzi za ukoloni hata kabla hawaja pata uhuru ubelgiji walikua wanachimba.

Mobutu aliwekwa madarakani kwa sababu Congo walikuwa wanauza Cobalt USSR walivyopata Uhuru. akawekwa yeye wauze West.
 
Punguza jazba leta hoja zenye mashiko acha kutupa lawama hovyo.

Wewe unajua kuwa Tanzanite ipo Tz pekee ila leading seler ni India😀😀😀

Dunia haina haki,mwenye nguvu mpishe!!!
 
Cobalt ndio Madini muhimu sasa hivi, muhimu kushinda hata mafuta, Bila cobalt hakuna Magari ya Umeme, hakuna iphone, hakuna Laptop, hakuna, redio, hakuna AC hakuna kifaa chochote cha electronic.
Huu ni ujinga.

Umekazania Cobalt Cobalt
 
Umekazania cobalt cobalt kama vile Congo pekee ndio inahodhi hayo madini
 
Kazakhstan ina madini yenye thamani ya $46 Trillion.
Mainly Mafuta na Uranium, yana bei ila sio Nchi moja inayohodhi, assume Kazakhstan angekua na yeye ana 70% ya production ya Mafuta/Uranium halafu anauza Urusi kungekalika pale?

Mfano mzuri angalia Venezuela ama Urusi wana mafuta ila wamepigwa pini kwanini? Sababu wana sehemu nyengine wanaweza pata hayo mafuta, mfano Nchi za kiarabu, ila kusingekua na Nchi za kiarabu na mafuta kahodhi tu Venezuela kingenuka siku nyingi tu pale.
 
Nani kasema cobalt ni rare earths.

Rare earths ndio muhimu kwa duniani ya sasa na inayokuja mpaka kupachikwa jina la gold of the 21st century na huyo Congo unayemtaja hayupo kwenye charts kubwa
 
Swali la msingi kabisaa
Kwa nn Congo?
Maana almost zaidi ya miaka 40 sasa hakuna utulivu kabisaa
 
Korea Kaskazini na Cuba wamepigwa pini kwa sababu wana nini??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…