Kama zingekuwa hazina hiyo Cobalt unayo ipraise muda wote ningeona sio sawa.At what percent? Hii ni production ya Cobalt 2023
View attachment 3198621
We Unaona ni sawa kuzitaja hizo nchi compare na Congo?
Nimekuwekea graph ya Cobalt kukuonesha haina huo umuhimu mkubwa katika hayo maeneo uliyotaja ukicompare na rare earths zinazo hitajika kwa udi na uvumba hili ukamate maeneo yote muhimu karne ya sasa na zijazo kiteknolojia na Congo huko haipo kwenye charts kubwa wewe umekomaa na cobalt cobalt as if ndio kila kitu.Wewe ndo umeenda OP mwenyewe na kuleta kitu ambacho hakipo kwenye mada, ulivyowekwa graph ya rare earth kwenye comment ya Cobalt ulitegemea nini?
Mwaka 2023 rare Earth market value ni $7B wakati Cobalt ilikua ni $30B so kadanganye watoto wenzio rare earth mineral zina thamani kuliko Cobalt.
China ina hold zaidi ya 60% ya rare earths duniani lakini haipo kama Congo.Congo inamiliki 70% ya Colbat duniani
Mpaka hapo jiulize
Stop this nonsense as if cobalt is oxygenIdea zao haziwezi kuwa implemented bila Cobalt?
Leo hii mimi nigundue kiti cha mbao, naweza kutengeneza bila mbao?
Hakuna Google na Microsoft bila servers, hakuna servers bila cobalt, hakuna Iphone bila motherboard na battery hakuna battery na motherboard bila cobalt it's easy ila zunguka zunguka wewee, jifanye kama huoni.
Nimekupa thamani ya soko 2023 Rare earth ni $7B na Cobalt ni $30B ipi ina thamani?Kama zingekuwa hazina hiyo Cobalt unayo ipraise muda wote ningeona sio sawa.
Cobalt sio miongoni mwa gold of the 21st century lakini unavyo izungumzia ni kama vile Rare earths ambayo bila hayo huwezi kuwa na technology supremacy sasa na hata baadae
Graph ipi ulioeka kuonesha hauna umuhimu? Graph yako havikua na ulinganisho bali ilionesha nchi zinazo produce rare Earth.Nimekuwekea graph ya Cobalt kukuonesha haina huo umuhimu mkubwa katika hayo maeneo uliyotaja ukicompare na rare earths zinazo hitajika kwa udi na uvumba hili ukamate maeneo yote muhimu karne ya sasa na zijazo kiteknolojia na Congo huko haipo kwenye charts kubwa wewe umekomaa na cobalt cobalt as if ndio kila kitu.
Huo ni utafiti wa 2024 kwamba unaweza huko baadae kutengenezwa Cobalt free battery. Huo utafiti unaprove point yangu kwamba Cobalt ni muhimu kuanzia karne iliopita hadi leo, kifaa cha Electronic hakitengenezeki bila hayo Material.Stop this nonsense as if cobalt is oxygen
Cobalt-free batteries could power cars of the future
An MIT battery material could offer a more sustainable way to power electric cars. The lithium-ion battery includes a cathode based on organic materials, instead of cobalt or nickel.news.mit.edu
Below the Radar: The strategic significance of rare earths for the economic and military security of the West
In the current trade war between the United States and China, Beijing has brought rare earths into play as a potential means of exerting pressure. China’s dominant position with regard to these strategic raw materials is not a passing geopolitical trend, but has been a structural market problem...www.baks.bund.de
Wapi nimezungumzia mambo ya thamani kati ya Cobalt na rare earths au tunazungumzia umuhimu na wewe ndio unasisitiza kuwa bila cobalt hakuna hiki wala hikiWewe ndo umeenda OP mwenyewe na kuleta kitu ambacho hakipo kwenye mada, ulivyowekwa graph ya rare earth kwenye comment ya Cobalt ulitegemea nini?
Mwaka 2023 rare Earth market value ni $7B wakati Cobalt ilikua ni $30B so kadanganye watoto wenzio rare earth mineral zina thamani kuliko Cobalt.
Kajifunze kuhusu LFP batteries.Huo ni utafiti wa 2024 kwamba unaweza huko baadae kutengenezwa Cobalt free battery. Huo utafiti unaprove point yangu kwamba Cobalt ni muhimu kuanzia karne iliopita hadi leo, kifaa cha Electronic hakitengenezeki bila hayo Material.
Comprehension ni janga la Taifa kusema kweli.
Ndio nimekuwekea graph inayo onesha nchi zinazo shikilia hizo rare earths kwa ukubwa ambazo ndizo muhimu katika maeneo mengi ya kiteknolojia kwa sasa na hata baadae tofauti na hiyo cobalt unayo itaja mara zoteGraph ipi ulioeka kuonesha hauna umuhimu? Graph yako havikua na ulinganisho bali ilionesha nchi zinazo produce rare Earth.
Ni kama mimi nioneshe list ya viwanda vya soda halafu niseme soda Ina thamani kuliko Almasi.
Weka ushahidi wa graph yenye ulinganisho.
LFP battery zinatumika sio kitu cha kuzungumzia kama utafitiHuo ni utafiti wa 2024 kwamba unaweza huko baadae kutengenezwa Cobalt free battery. Huo utafiti unaprove point yangu kwamba Cobalt ni muhimu kuanzia karne iliopita hadi leo, kifaa cha Electronic hakitengenezeki bila hayo Material.
Comprehension ni janga la Taifa kusema kweli.
Story ya Savimbi huwa inafurahisha sana, waasi hawajuagi nini wanataka wao ni mitutu mitutu na wao...Ni kwasababu waasi wa DRC wanasaidiwa na Uganda, na Rwanda.
..waasi wanapokuwa na support ya nchi majirani basi ni vigumu sana kuwamaliza.
..Jonas Savimbi alikuwa moto kwelikweli Angola, lakini misaada toka Afrika Kusini na Zaire/DRC ilipokatika Savimbi aliisha makali.
Bila cobalt hakuna kifaa cha Electronic, bila Rare earth material kifaa cha Electronic kinatengenezeka sema tu kinakua hakina Nguvu kama Mwanzo, mfano kama ni Laptop bila Cobalt hakuna Laptop, ila bila rare material laptop ipo ila tu itakua haina nguvu na haika na chaji sana, ipi muhimu zaidi hapo?Wapi nimezungumzia mambo ya thamani kati ya Cobalt na rare earths au tunazungumzia umuhimu na wewe ndio unasisitiza kuwa bila cobalt hakuna hiki wala hiki
Sasa kati ya cobalt na rare earths zipi zina umuhimu na uhitaji katika maeneo hayo uliyotaja sasa na baadae katika ulimwengu wa kiteknolojia ?
Hiyo cobalt unavyo izungumzia as if haina alternative na ipo Congo pekee dunia nzima na muhimu kuliko kitu chochote kwenye teknolojia
Story ya Savimbi huwa inafurahisha sana, waasi hawajuagi nini wanataka wao ni mitutu mitutu na wao.
Computer ipi hiyo inaweza kufanya kazi bila rare earths ? Una andika kitu unacho kielewa kweli ? Unajua REES zina cover maeneo mangapi katika Computer mpaka ifanye kaziBila cobalt hakuna kifaa cha Electronic, bila Rare earth material kifaa cha Electronic kinatengenezeka sema tu kinakua hakina Nguvu kama Mwanzo, mfano kama ni Laptop bila Cobalt hakuna Laptop, ila bila rare material laptop ipo ila tu itakua haina nguvu na haika na chaji sana, ipi muhimu zaidi hapo?
Lfp batteries na research nyengine ni technology za sasa, Hebu tell me how will bill gate ama Google wawe na Lfp huko miaka ya 70, Sijakataa kwamba zipo initiative za kutengeneza vifaa sasa hivi bila Cobalt,Kajifunze kuhusu LFP batteries.
Kuhonga viongozi na kuanzisha waasi ipi ni nafuu?shida sio viongozi,wananchi wenye akili ndio walisababisha hii vita,hawawezi kukubali kuona maliasili zao znasombwa. So badala ya njia ya kutumia mikataba feki kujulikana na wananchi wakaamua watumie waasi na mataifa jirani. Like wise tanzania wananchi mkishtuka,watawatumia hawa wapinzani,watatengeneza uikundi vya waasi ili mradi tu wafikie adhima yao.