Kwanini Congo DRC?

Kwanini Congo DRC?

Acha porojo nyingi, simu na laptop za juzi tu hapo ambazo tulikuwa tunatumia ambazo betri zake hazikuwa built in ambazo watu walikuwa wanaweza kuzibadilisha na wanaenda kuchajisha betri vibandani zilikuwa zinatumia betri za NiCd-Nickel-cadmium na NIMH.

Simu na Laptop za kisasa ambazo huwezi kuchoma betri(built in batteries) na vifaa vingine vingi pia ndizo zinatumia Cobalt kwa wingi na ni ujanja wa kibiashara uliogunduliwa na makampuni ya electronics ili watu watumie simu na laptop kwa muda mfupi, wasiweze kubadilisha betri au vifaa vingine kwa urahisi wawe wananua simu mpya kila mara. Sio necessity
Tatizo lenu moja kwanza mnaforce Cobalt ni batteries hio mistake ya kwanza.

Pili si kweli mnachosema utakuwa unachanganya li-po na Li-ion battery za zamani pia ni lithium zenye Cobalt

Ushahidi huu hii battery ya Nokia ambayo tumetumia kwenye vitochi na makobe kuchaji

images (75).jpeg


Tatu, kuna Variety kibao za Betri za Nickel zinatumia Cobalt.
 
Tatizo lenu moja kwanza mnaforce Cobalt ni batteries hio mistake ya kwanza.

Pili si kweli mnachosema utakuwa unachanganya li-po na Li-ion battery za zamani pia ni lithium zenye Cobalt

Ushahidi huu hii battery ya Nokia ambayo tumetumia kwenye vitochi na makobe kuchaji

View attachment 3198821

Tatu, kuna Variety kibao za Betri za Nickel zinatumia Cobalt.
Ushahidi wa Cobalt uko wapi kwenye hiyo picha yako ya betri?!
 
Tatizo lenu moja kwanza mnaforce Cobalt ni batteries hio mistake ya kwanza.

Pili si kweli mnachosema utakuwa unachanganya li-po na Li-ion battery za zamani pia ni lithium zenye Cobalt

Ushahidi huu hii battery ya Nokia ambayo tumetumia kwenye vitochi na makobe kuchaji

View attachment 3198821

Tatu, kuna Variety kibao za Betri za Nickel zinatumia Cobalt.
Ni hivi, soko kubwa la Cobalt kwa zaidi ya 70% kwa sasa ni kwenye betri za magari na vifaa vya electronics.
 
Ni hivi, soko kubwa la Cobalt kwa zaidi ya 70% kwa sasa ni kwenye betri za magari na vifaa vya electronics.
Volume sawa sababu gari lina battery kuubwa, ila haimaanishi umuhimu kwenye vifaa vingine ni mdogo.

Circuit zinatumia material kidogo ila ni muhimu zaidi, uzalishaji mafuta unatumia kidogo ila ni muhimu zaidi, battery za simu ni ndogo ila muhimu zaidi etc.
 
Mkuu Congo ina nuksi,au balaa karibu miaka 100 na zaidi iliyopita.
Wakati wa Congoman wakiishi kiaslia ikaja biashara ya utumwa kutokea magharibi ya Congo wakauzwa Amerika na Mashariki wakauzwa Arabuni.
Mara vuu kaja Mfalme Leopard wa Ubelgi akatangaza kuwa Congo ni mali yake binafsi.
Na wananchi waliotaka kuleta upinzani alifyeka wananchi wasio na hatia MILLIONI 15.
Lakini watu wenye maono wakamlazimisha iwe chini ya serikali ndio hiyo Congo Leopardville.
Mara vugu vugu za uhuru miaka ya sitini mwanzoni Patrik Lumumba Waziri mkuu mwenye serikali,na Kasabubu Raisi wa nchi.Ugomvi wao Lumumba akauliwa nchi ikaingia machafuko,mara jeshi likatwaa madaraka ikiongozwa na Joseph Mabutu.

Mobutu kabadirisha jina lake na la nchi,ndio Zaire jina la kijito kidogo.
Akawageuka wananchi akaamua kula bata,na wananchi kawaacha solemba.
Mobutu akapinduliwa na Kabila family na kurudisha utawala wa kidemokrasia na sasa Raisi Mpya Kisekedi junior wa Congo DRC.
 
Ni upumbavu wa Wacongo wenyewe, mengine yote ni excuse za kipumbavu.
Mtu nchi yake iko vitani yuko somewhere ughaibuni hana hata uchungu unamsikia "papaa nikufege juu ya nini, mie ni myuzisiee". Mobutu Sese Seko Kuku Ngbendu wa za Banga ndiyo alisababisha watu kutokuwa na uzalendo, alifanya watu wakapoteza uzalendo kwa jinsi alivyoiongoza nchi kiubinafsi kama Tanzania inapoelekea watu wanapoteza uzalendo kwa jinsi nchi inavyoendeshwa kiubinafsi.
Una kichwa kizito sana
 
Volume sawa sababu gari lina battery kuubwa, ila haimaanishi umuhimu kwenye vifaa vingine ni mdogo.

Circuit zinatumia material kidogo ila ni muhimu zaidi, uzalishaji mafuta unatumia kidogo ila ni muhimu zaidi, battery za simu ni ndogo ila muhimu zaidi etc.
Cobalt sio material muhimu kwenye circuit isiyo na mbadala, inatumika kwa kiwango kidogo sana na imeanza kutumika kwenye circuits miaka ya mwanzoni 2000's. Mahitaji makubwa ya Cobalt yamekuja baada ya kuanza kutumika kwenye betri na hapo ndipo hata kelele nyingi za uchimbaji Cobalt huko DRC zilipoanza na kuwa kubwa.
 
Battery za lithium cathode zake ndio zinatumia Cobalt? Battery zote zenye density kubwa kama simu na Laptop cathode zake ni Cobalt,
Hizi hapa zote ni aina ya cathodes,
lithium cobalt oxide (LiCoO2), lithium manganese oxide (LiMn2O4), lithium iron phosphate ( LFP), lithium nickel manganese cobalt oxide ( NMC).
 
Sio kweli, Tanzania mbona tuna rasilimali na hakuna waasi. In fact wazungu wanajichotea almasi tu dhahabu kwa mikataba mibovu ndio sembuse watake vita.

Unataka kuniambia DRC bila vita hao viongozi hawahongeki?

Tuache kusingizia wazungu, hata Mugabe aliachiwa kila kitu ila bado nchi ikamshinda kwa kunuka ufisadi.
Utasemaje aliachiwa Kila kitu wakati walimpiga sanctions


Kama urusi na Irani zinahenya Kwa sanctions ndio ije kuwa Zimbabwe


Huawei alipigwa Sanctions unaona kilichowakuta.


Kwa mifumo ya kiuchumi ya kidunia ilivyo hakuna nchi Africa unaweza kupigwa sanctions na isitetereke
 
Cobalt sio material muhimu kwenye circuit isiyo na mbadala, inatumika kwa kiwango kidogo sana na imeanza kutumika kwenye circuits miaka ya mwanzoni 2000's. Mahitaji makubwa ya Cobalt yamekuja baada ya kuanza kutumika kwenye betri na hapo ndipo hata kelele nyingi za uchimbaji Cobalt huko DRC zilipoanza na kuwa kubwa.
We jamaa wewe sometime unaropoka vitu ambavyo huvijui, Miaka na Miaka Cobalt tumizi lake la kwanza ni kutengeneza Alloy, Cobalt inakaa mda mrefu na ni ngumu haichakai, kuanzia Ndege yale ma panga, yake mpaka binadamu replacement ya magoti ama kiuno inatumika Cobalt, kifupi sehemu yoyote yenye joto inayo taka kitu kama chuma kinachodumu inatumika Cobalt.

Circuit zinatumika maeneo yenye joto, joto linafika hadi Nyuzi 100 unatoboaje hapo?

Cobalt inatengeneza hadi hard metals

Serikali ya Marekani yenyewe imecategorize Cobalt kama Critical na strategy material, ni Essential kwao bila uwapo wake Nchi itatetereka.
 
Hizi hapa zote ni aina ya cathodes,
lithium cobalt oxide (LiCoO2), lithium manganese oxide (LiMn2O4), lithium iron phosphate ( LFP), lithium nickel manganese cobalt oxide ( NMC).
Cathode nyengine hazitumiki kwenye simu ni LiCoO2 ndio inatumika kwenye simu, ni basic kabisa hii, we endelea ku google.
 
Nani alikuambia??
You are better than this, kama nimeongea uongo prove otherwise maneno ya kizaramo hayasaidii chochote

Kwenye Cathode zote LiCoO2 pekee ndio ina
-density kubwa
-thermal stability
- life cycle kubwa

Vyote vitatu ni muhimu kwenye smartphone na vifaa vingine portable.

Cathode nyengine zina kazi tofauti kama kucharge haraka na ku discharge haraka etc hizi hazitumiki kwenye vifaa vyetu vya kila siku

 
You are better than this, kama nimeongea uongo prove otherwise maneno ya kizaramo hayasaidii chochote
Tatizo unaongea uongo mwingi sana na kwa umahiri mkubwa sana kiasi kwamba inaonekana sio tu kama unapotosha makusudi bali unauamini kabisa uongo huo kama ukweli au facts.
 
Utasemaje aliachiwa Kila kitu wakati walimpiga sanctions


Kama urusi na Irani zinahenya Kwa sanctions ndio ije kuwa Zimbabwe


Huawei alipigwa Sanctions unaona kilichowakuta.


Kwa mifumo ya kiuchumi ya kidunia ilivyo hakuna nchi Africa unaweza kupigwa sanctions na isitetereke
Kwahiyo yale mashamba yalishindwa kuzalisha sababu ya vikwazo?
 
Tatizo unaongea uongo mwingi sana na kwa umahiri mkubwa sana kiasi kwamba inaonekana sio tu kama unapotosha makusudi bali unauamini kabisa uongo huo kama ukweli au facts.
Siongei kitu bila kutoa source, karibia kila comment yangu nikiongea naambatanisha na source, wewe je? Nafsi yako inachokutuma unaongea with "trust me bro za kutosha"

Kama nimedanganya niambie wewe with evidence cathode gani inatumika kwenye battery za simu.
 
Jibu nzuri kabisa hili mkuu,wengi wetu ni watu wa kutoa lawama kwa wazungu kuhusu mgogoro wa DRC na kuzipa kisongo sababu za ndani ambazo ni chanzo Cha matatizo ya Congo.
Huwezi kuiweka sababu ya ndani kama factor namba 1 ya mgogoro huu huku ukiiignore sababu za mabeberu kuhakikisha vita hii inaendelea Kwa dahari na dahari
 
Tesla ananunua BYD fanya homework yako vizuri.

Kitu kinaitwa rare sababu kipo kichache lugha inakusumbua? Kitu kuwa uchache hakimaanishi ni muhimu. Udongo wa kiko sisi Tanzania si tupo juu? Ni rare huo Udongo ila unatusaidia nini?

Kitu kinaweza kisiwe rare na Kikawa na Umuhimu mfano mzuri unao mafuta, mafuta ni mengi mno dunia nzima hata sio rare ila thamani yake na mziki wake unaujua wala sina haja ya kuelezea.
Hujui hata kwa nini ni rare earth hii ya uchache ni tafsiri yako.

Rare earths zinapatikana nchi nyingi tu duniani tena kwa hifadhi kubwa haya ya uchache ni tafsiri yako.

Sio kila battery Tesla anatumia kutoka BYD wewe ndio ufanye homework yako vizuri

Rare earths ni nyingi na muhimu katika teknolojia sasa na baadae hii ndio engine ya teknolojia muhimu dunia inazo zipambania na ni muhimu sana usipo hodhi kwenye technology supremacy haupo sasa na hata baadae.
 
Back
Top Bottom