Kwanini Couple ya akina The Bold na Nifah inakubalika na kuwa na mvuto kuliko zilizokuwepo humu JF?

Mkuu Nifah na The bold wameweka wazi hapa kuwa sio kapo tu ya jf bali anakolala Nifah ndiko anakoamkia The bold, je lugha hii ni ngumu?
Au unataka kuvunja ndoa/ uhusiano wao?
Nifah
The bold
Njooni mtegue kitendawili hiki
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…