Kwanini Couple ya akina The Bold na Nifah inakubalika na kuwa na mvuto kuliko zilizokuwepo humu JF?

Kwanini Couple ya akina The Bold na Nifah inakubalika na kuwa na mvuto kuliko zilizokuwepo humu JF?

Je......
  1. Damu zao zimeendana?
  2. Wameridhiana Kimahaba?
  3. Wana Mapenzi ya dhati?
  4. Hawajadanganyana kama sisi Mangumbaru / Hohehahe wengine tunaorukaruka tu?
  5. Wamerogana na labda Uchawi au umegongana hivyo hakuna awezaye kuchomoka?
  6. Nyota zao zimelalia upande mmoja?
  7. Mwenyezi Mungu aliwaanda muda mrefu tu ila wao hawakujua mapema?
Karibuni nyote mliobobea / mliotukuka katika Elimu nzima ya Mapenzi mtupe ujuzi wenu tafadhali kwani kuna wengine humu Couples zetu hazina tofauti na uwanja wa vita au yanayotokea huko nchini Syria ( namaanisha ni za hovyo hovyo tupu )

Nawasilisha.
Mkuu Nifah na The bold wameweka wazi hapa kuwa sio kapo tu ya jf bali anakolala Nifah ndiko anakoamkia The bold, je lugha hii ni ngumu?
Au unataka kuvunja ndoa/ uhusiano wao?
Nifah
The bold
Njooni mtegue kitendawili hiki
 
Back
Top Bottom