Daby
JF-Expert Member
- Oct 26, 2014
- 33,894
- 76,810
Hapo sawa. Kusameheana kuzuri kwa afya za bailojia zetu. Wewe haujamkana Paw ujueWaite kwanza ile michepuko yako yote uikane hapa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapo sawa. Kusameheana kuzuri kwa afya za bailojia zetu. Wewe haujamkana Paw ujueWaite kwanza ile michepuko yako yote uikane hapa
Kumbe nawe ni mbovu tena haya majanga + + sasaYap ukimtosa utasababisha left ventricle yake ipasuke si unajua tena charlie ni mbovu hata kwa right auricle[emoji4][emoji4]
Hamna me so mbovu [emoji4][emoji4]..namsemea daby...but nilisema ntakuwa ndumila kuwili shem[emoji4][emoji4]Kumbe nawe ni mbovu tena haya majanga + + sasa
OoooohHamna sema Daby nilisha mkataza kupita na Winsky mbele ya bebeee hasikii[emoji4][emoji4][emoji4]
Ni wa dada yakoMmh. Huu sio mwandiko wa mpwa wangu.
Itakuwa mpwa. Nilitegemea utampa anko credits ila wapi.Ni wa dada yako
Mi ndumilakuwili simtaki banaHamna me so mbovu [emoji4][emoji4]..namsemea daby...but nilisema ntakuwa ndumila kuwili shem[emoji4][emoji4]
Promise hutochepuka tena[emoji17]Naona shetani ananyemelea penzi liliowezungukwa na damu ya bwana. Tabasamu tusali nafsi zipumue babe.
Michepuko inipite kushoto mimi. Big PROMISE. [emoji3][emoji3][emoji8]Promise hutochepuka tena[emoji17]
Me namsemea Daby lkn najisemea namimi[emoji4][emoji4][emoji4]...kwani mwenyeji akiondoka siruhusiwi kukung'uta jamvi bebe[emoji4][emoji4]hihihiMi ndumilakuwili simtaki bana
Na ukichepuka tena nikufanyaje?Michepuko inipite kushoto mimi. Big PROMISE. [emoji3][emoji3][emoji8]
Hahaha mkuu yaliparamia kwenye kidevu[emoji4][emoji4] ...charlie usirudie tena Winsky mbele ya shem utalala nje...ukija gheto sitakupokeaMichepuko inipite kushoto mimi. Big PROMISE. [emoji3][emoji3][emoji8]
Inategemea na muondoko wa mwenyeji sasa hapoMe namsemea Daby lkn najisemea namimi[emoji4][emoji4][emoji4]...kwani mwenyeji akiondoka siruhusiwi kukung'uta jamvi bebe[emoji4][emoji4]hihihi
Mwenyeji akisepa to infinity me naapproach small distance (x)[emoji4][emoji4][emoji4]Inategemea na muondoko wa mwenyeji sasa hapo
Wewe nifanye utakalo hata kunikata nyeti kikubwa usinikimbie tu. Mbona haunipi makopa? [emoji57]Na ukichepuka tena nikufanyaje?