KERO Kwanini DAWASA hawawezi kutupa maji 24hrs kama Mwanza?

KERO Kwanini DAWASA hawawezi kutupa maji 24hrs kama Mwanza?

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua

matunduizi

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2018
Posts
7,968
Reaction score
19,368
Kama nitakosea nisahihishwe, niliwahi kumsikia Kitila Mkumbo enzi hizo Katibu wa Wizara akisema maji yaliyopo ni mengi kuliko uhitaji wake kwa watu wa DSM.

Kwa sababu mabomba yamefikia wachache tu kwa maji hayo mengi nilitarajia yawe yanatoka kila siku saa 24 huku ambapo pameunganishwa. Wakati wa hayati JPM mtaani kwa mara ya kwanza yalivutwa na kuanza kutoka angalau mara 3 kwa wiki. Baada ya kufariki dunia yule Mkuu, hakuna formula. Mara moja kwa mwezi wakijitahidi kwa wiki tena saa kadhaa tu.

Kwa sababu hii ni shida ya muda wote hasa kwa maeneo tunayoishi tusio na ushawishi kisiasa. Nataka kujifunza hawa jamaa huwa wanatoa sababu gani za kitaalam.?
 
Kama nitakosea nisahihishwe, Niliwahi kumsikia Mh Kitila Mkumbo enzi hizo katibu wa wizara akisema maji yaliyopo ni mengi kuliko uhitaji wake kwa watu wa DSM.

Kwa sababu mabomba yamefikia wachache tu kwa maji hayo mengi nilitarajia yawe yanatoka kila siku masaa 24 huku ambapo pameunganishwa. Wakati wa hayati JPM mtaani kwa mara ya kwanza yalivutwa na kuanza kutoka angalau mara 3 kwa wiki. Baada ya kufariki dunia yule mkuu, hakuna formula. Mara moja kwa mwezi wakijitahidi kwa wiki tena masaa kadhaa tu.

Kwa sababu hii ni shida ya muda wote hasa kwa maeneo tunayoishi tusio na ushawishi kisiasa. Nataka kujifunza hawa jamaa huwa wanatoa sababu gani za kitaalam.?
Nashangaa kweli tathimini zao huwa wanatoa kwa vigezo vya kisiasa au taaluma,tena kama ndo jimbo lake huyo waziri maji niyashida kweli..

Huwezi amini maji yanauzwa 1000 kwa dumu la lita 20 maeneo mengi ya Kimara mwisho.

Wauzaji ma maji jisogezeni Kimara mwisho . Watu wanashida ya maji haswa
 
Nashangaa kweli tathimini zao huwa wanatoa kwa vigezo vya kisiasa au taaluma,tena kama ndo jimbo lake huyo waziri maji niyashida kweli..

Huwezi amini maji yanauzwa 1000 kwa dumu la lita 20 maeneo mengi ya Kimara mwisho.

Wauzaji ma maji jisogezeni Kimara mwisho . Watu wanashida ya maji haswa
Natamani kujua chanzo cha tatizo.
 
Mwanza ya wapi inayopewa maji masaa 24 mkuu?
Mara ya mwisho naishi mwanza. Mtaani kwetu maji hayakuwa tatizo kabisa. Hata sasa nikienda uswahilini kwetu hakuna nyumba yenye Tank la maji reserve maana yapo muda mwingi. Nyegezi, pasiasi kote nilikaa na maji haikuwa kitu cha kujadili au kuwaza.
 
Hadi huko daslam kuna shida ya maji hii nchi ngumu sana
Kuna mdau nilimuona anatumia millions kuchimba kisima wakati nje ya geti lake kuna bomba kubwa la maji linapita. Wanafanya kazi kubwa lakini bado mimi naona ni aibu, vitu vya maji ni vitu vidogovidogo sana. Tunatakiwa kutumia mida mwingi kufikiri mambo makubwa. Labda kama uhaba unamanufaa kitaifa.
 
Basi mkuu mambo yamebadilika. Siku hizi wanakata hata siku tatu,nne hivi. Kipindi cha mwenge maji yalikua tele. Mwenge ukaondoka jijini na tabu imerudi pale pale
Mara ya mwisho naishi mwanza. Mtaani kwetu maji hayakuwa tatizo kabisa. Hata sasa nikienda uswahilini kwetu hakuna nyumba yenye Tank la maji reserve maana yapo muda mwingi. Nyegezi, pasiasi kote nilikaa na maji haikuwa kitu cha kujadili au kuwaza.
 
Basi mkuu mambo yamebadilika. Siku hizi wanakata hata siku tatu,nne hivi. Kipindi cha mwenge maji yalikua tele. Mwenge ukaondoka jijini na tabu imerudi pale pale
Duu!!! Tunakuwa masikini kwa sababu ya kuvimbiwa rasilimali tajirishi.
 
Back
Top Bottom