Kwanini diamond anafanya vizuri

Kwanini diamond anafanya vizuri

Anajituma..ana management nzuri..anatumia alama za nyakati
 
Usilitaje jina la Kiranga bure.
hhahahaha ni kweli mkuu ,mimi ni mfuasi wa kristo ,ila i like your free thinking mind na nimekuwa undesputable nikikutana na mfia dini huwa nachomoa gia yangu napiga kiranga 4 wheel drive ,nampiga mtu mpaka kuna siku anajiuliza huyu ni genious nini ? Badae wanarudi mezani kujifunza ndo nawaambia mambo ya neno imani huwa ni kama kula chakula cha mke wako ukiamini hawezi kukupa sumu ,kwani mke anakupenda lakini ukweli ni kwamba historia inaonesha mtu wa kukuua anaanza kwanza kuwa wa karibu ,so same force unayotumia kusema mungu yupo na aliumba mbingu na dunia ,ndo same as kukataa mke hawezi kukuua,so kuamini ni kama kupenda ukitumia akili vizuri loving/marrying a woman is a stupid activity ,ndo maana wenye maakili huwa aidha hawaoi au hawako serious na ndoa kabisa na wengi huishia kuwa maplayer sugu
 
hhahahaha ni kweli mkuu ,mimi ni mfuasi wa kristo ,ila i like your free thinking mind na nimekuwa undesputable nikikutana na mfia dini huwa nachomoa gia yangu napiga kiranga 4 wheel drive ,nampiga mtu mpaka kuna siku anajiuliza huyu ni genious nini ? Badae wanarudi mezani kujifunza ndo nawaambia mambo ya neno imani huwa ni kama kula chakula cha mke wako ukiamini hawezi kukupa sumu ,kwani mke anakupenda lakini ukweli ni kwamba historia inaonesha mtu wa kukuua anaanza kwanza kuwa wa karibu ,so same force unayotumia kusema mungu yupo na aliumba mbingu na dunia ,ndo same as kukataa mke hawezi kukuua,so kuamini ni kama kupenda ukitumia akili vizuri loving/marrying a woman is a stupid activity ,ndo maana wenye maakili huwa aidha hawaoi au hawako serious na ndoa kabisa na wengi huishia kuwa maplayer sugu
Hahaha, umezibuka my dude.
 
kolabo za kimataifa zimemuongezea mashabiki hali ambayo tofauti na alikiba yeye mpaka sasa sioni muelekeo wake kujitangaza kimataifa
 
Back
Top Bottom