Teko Modise
JF-Expert Member
- May 20, 2017
- 2,331
- 7,733
Yeye mtu wa matangazo ya vodacom, wakati fiesta inadhaminiwa na tiGO.Ni kwamba ni mkubwa kuliko tamasha la Fiesta au kuna mikataba inamfunga? Tokea mwaka jana hajashiriki tamasha hili.
Mambo ya kupandishwa bus mpaka Tarime na wakina Shilole hizo ni level za Ali Kiba.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Amekatazwa kushiriki na hamisa mabeto ( mfano wa comment za wanaume wa dar)
Hawana hela ya kumlipa.Ni kwamba ni mkubwa kuliko tamasha la Fiesta au kuna mikataba inamfunga? Tokea mwaka jana hajashiriki tamasha hili.
Naaaaam mkuu.
Mkuu naona alikuwa anataka maelezo hapo maana mkuu nakukubali sana we ni shabiki wa damu wa huyo jamaa.Naaaaam mkuu.