Abuu Kauthar
JF-Expert Member
- Jul 10, 2011
- 4,296
- 6,492
utamlipa wewe hayo mamilioni anayotaka???
wasafi haingii msanii mmojammoja bali kama kampuni, na wanatoa mtu mmoja tu au wawili wanaenda kuwakilisha kampuni nzima.... So kumuona Mavoko fiesta ni sawa na kumwona Mond maana ataimba nyimbo zote za wasafi
Kwa anajitambua thaman yake, anafungwa na mikata au atashiriki badae?