heaven on desert
JF-Expert Member
- Jan 25, 2013
- 1,025
- 393
Ulikuwa unataka kusema nini!! kwahiyo na TOT Plus wako juu siyo? wewe unashangaa Diamond kualikwa kukata viuno kwa nini usishangae mpiga picha Michuzi kuzurura na Rais Dunia nzima wakati Ikulu inampiga picha wake Fred Maro?maazimisho ya miaka36 ya ccm kigoma..kikwete anamaliza hotuba na kumkaribisha diamond kupafomu
tukubali tu kijana yuko juu..kwa nn mikusanyiko ya kiserikari huchaguliwa diamond na c msanii mwingine wakat wapo maelfu
ukitaka kula chura unachagua aliyenona. Hivyo basi usione ajabu maana yeye kwa sasa ndo mwanamziki anayevuma zaidi we ulitaka aitwe saida karoli
Ulikuwa unataka kusema nini!! kwahiyo na TOT Plus wako juu siyo? wewe unashangaa Diamond kualikwa kukata viuno kwa nini usishangae mpiga picha Michuzi kuzurura na Rais Dunia nzima wakati Ikulu inampiga picha wake Fred Maro?
Kikwete ni Msanii kama anamualika msanii mwenzake kuna ubaya gani? unashangaa kumualika Kigoma wakati alimpeleka mpaka Marekani kwenda kukata mauno!!
[h=3]Mganga wa DIAMOND Ajitokeza[/h]tanzania
nchi yenye watu wenye chuki za kijnga kuliko wote africa
Hivi chura analiwa..
ha ha hanida'nganye da'nganye tu ukiniambia ukweli wa rasilimali nitaumia.
roma mkatoliki hakuwepo?maazimisho ya miaka36 ya ccm kigoma..kikwete anamaliza hotuba na kumkaribisha diamond kupafomu
tukubali tu kijana yuko juu..kwa nn mikusanyiko ya kiserikari huchaguliwa diamond na c msanii mwingine wakat wapo maelfu
Mbona dokii yupo?? Au na yeye sio msanii??