alexmahone JF-Expert Member Joined Apr 8, 2011 Posts 482 Reaction score 406 Oct 16, 2017 #41 Hata huyo mmoja hakukuwa na sababu ya kuwa naye. Bilionea Bill Gate kaja Tz na kazunguka sehemu kibao lakini hakuwa na Baunsa hata mmoja wa kumlinda.
Hata huyo mmoja hakukuwa na sababu ya kuwa naye. Bilionea Bill Gate kaja Tz na kazunguka sehemu kibao lakini hakuwa na Baunsa hata mmoja wa kumlinda.
youngdonats18 JF-Expert Member Joined Jul 7, 2015 Posts 685 Reaction score 443 Oct 16, 2017 #42 Mnaomwambia mwandishi wa mada apambane na Hall yake mkiendelea kucomment ni km mnamsaidia kupambana na hali yake coz huu uzi wake ndo hali yake
Mnaomwambia mwandishi wa mada apambane na Hall yake mkiendelea kucomment ni km mnamsaidia kupambana na hali yake coz huu uzi wake ndo hali yake