Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahaha..nipo kitambo mkuuJoverist nilitaka nikuwahie siti hapo ila nikachelewa...vipi MMU hatuendi Leo?
wewe una hata kimbao mbao anaekulinda?Inafahamika kuwa Zari ni mwanamke bilionea mkubwa Afrika mashariki na Afrika kwa ujumla lakini cha kushangaza hana bodigadi badala yake bodigadi anayetumiwa na Diamond ndio huyohuyo anatumiwa na Zari! Hii si picha nzuri. Ni bora kama hana uwezo Wa kumudu gharama za kulipia Mlinzi bora atembee hivohivo tu!
Sijui Huyo mwarabu akitembea na Zari au Mond wakati huohuo Mond au Zari atakuwa na na mlinzi yupi
wewe una hata kimbao mbao anaekulinda?
Aisee umenifanya nichekeKwani Mange anasemaje kuhusu hilo swala?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Inafahamika kuwa Zari ni mwanamke bilionea mkubwa Afrika mashariki na Afrika kwa ujumla lakini cha kushangaza hana bodigadi badala yake bodigadi anayetumiwa na Diamond ndio huyohuyo anatumiwa na Zari! Hii si picha nzuri. Ni bora kama hana uwezo Wa kumudu gharama za kulipia Mlinzi bora atembee hivohivo tu!
Sijui Huyo mwarabu akitembea na Zari au Mond wakati huohuo Mond au Zari atakuwa na na mlinzi yupi
Hahahaha damu zako na Mange km hamisa na zariKwani Mange anasemaje kuhusu hilo swala?
Imebidi nicheke kidogo...!!!Sasa unatulalamikia sisi au serikali?
WEWE UNA MBWA WA KUKULINDA NYUMBANI.ACHA USHAMBA!! DIAMOND ULIKUWA UNAMLINDA WEWE ALIPOKUWA SAFARINI.BODYGUARD WA ALLY KIBA NI OMMY DIMPOS AU!!Inafahamika kuwa Zari ni mwanamke bilionea mkubwa Afrika mashariki na Afrika kwa ujumla lakini cha kushangaza hana bodigadi badala yake bodigadi anayetumiwa na Diamond ndio huyohuyo anatumiwa na Zari! Hii si picha nzuri. Ni bora kama hana uwezo Wa kumudu gharama za kulipia Mlinzi bora atembee hivohivo tu!
Sijui Huyo mwarabu akitembea na Zari au Mond wakati huohuo Mond au Zari atakuwa na na mlinzi yupi
Ungemtumia mond private SMS.Inafahamika kuwa Zari ni mwanamke bilionea mkubwa Afrika mashariki na Afrika kwa ujumla lakini cha kushangaza hana bodigadi badala yake bodigadi anayetumiwa na Diamond ndio huyohuyo anatumiwa na Zari! Hii si picha nzuri. Ni bora kama hana uwezo Wa kumudu gharama za kulipia Mlinzi bora atembee hivohivo tu!
Sijui Huyo mwarabu akitembea na Zari au Mond wakati huohuo Mond au Zari atakuwa na na mlinzi yupi
Haaaa haaaa Jamani nimecheka uwiiiiiiiiKwani Mange anasemaje kuhusu hilo swala?