Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Majukumu boss. Sio kila eneo mtu utaenda.Kwa Barnaba na jux, hao kiba na harmo walialikwa? Mimi naongelea sehemu ambazo mtu kapewa mualiko na hajaenda huwezi jipeleka sehemu hujaalikwa.
Duu kama hujui kwenye album ya barnaba kuna nyimbo kafanya na Kiba na ule uzinduzi wasanii wote waliokuwa kwenye album yake walialikwa na Harmonize alikwa na Barnaba.Kwa Barnaba na jux, hao kiba na harmo walialikwa? Mimi naongelea sehemu ambazo mtu kapewa mualiko na hajaenda huwezi jipeleka sehemu hujaalikwa.
Kwamba hao wengine wote ndio wenye tatizo? Kwamba kwa upande wa diamond mwenyewe hana tatizo lolote? Hapa kuna namna mbili either hao watu wanamchukia diamond kwa mafanikio yake au diamond mwenyewe kajitenga kwa kufikiria apendwi kwa sababu ya mafanikio yake yaani hata akifanyiwa kosa la kibinadamu tu anajua vigisu hiziNi wivu tu,ipo hv "people fear what they don't understand,hate what they can't conquer"
Diamond amebadilisha status quo ya game la muziki,wale walifikiri ndio wanastahili kuwa ma don wa game,hawaelewi imewezekana VP kijana wa Tandale ameweza kuwa music Mogul, tycoon wa bongofleva.
Billionaire wa music game!
Kijana ana pesa ndeefe,sasa wale waliokuwa wanaojiona wapo juu kstk industry kutokana na nafasi zao,ama watangazaji,au wamiriki wa vyombo vya habari,wamekuja kushituka kwamba mond haitaji kuwapigia magoti Ili kupata airtime,maana hata yeye anamiriki kituo Cha redio na tv,
Sasa hapo chuki inakuwa kubwa,wanaona wakimkaeibisha atazidi kuwa tajiri,lakini kumbe tayari ni tajiri,sasa hapo wanabski kwenye dilema.
Kingine,Mond dau lake kubwa,yeye ni brand,na Kuna bidhaa anazitangsza,sasa hawezi kwenda kwenye tukio linalodhaminiwa na bidhaa kinzani na ile anayoiwakilisha.
Inasikitisha sana ndo miziki inayopendwa na vijana sasa hivi.. ukitaka ngoma yako itrend we sifia pombe au ngono.. kuna song la furaha kulewa na marafiki umehit kwa sababu ya kusifia ulevi tu ila hauna maajabu yoyote, shetani amepita hakuna chochote mule vijana wanaluka nao tu kwa sababu kuna mistari ya kuamasisha pombe na ngonoNani amualike atuimbie upuuzi wake ati "...inama chuma mchicha nikukamulie mafuta..."puuuu!!!! Laana tupu
Tutakuwa kama DRC waliwekeza kwenye music huku madini yanasombwakitaka ngoma yako itrend we sifia pombe au ngono.. kuna song la furaha kulewa na marafiki umehit kwa sababu ya kusifia ulevi tu ila hauna maajabu yoyote
Ahsante umemaliza kazi.Ni wivu tu,ipo hv "people fear what they don't understand,hate what they can't conquer"
Diamond amebadilisha status quo ya game la muziki,wale walifikiri ndio wanastahili kuwa ma don wa game,hawaelewi imewezekana VP kijana wa Tandale ameweza kuwa music Mogul, tycoon wa bongofleva.
Billionaire wa music game!
Kijana ana pesa ndeefe,sasa wale waliokuwa wanaojiona wapo juu kstk industry kutokana na nafasi zao,ama watangazaji,au wamiriki wa vyombo vya habari,wamekuja kushituka kwamba mond haitaji kuwapigia magoti Ili kupata airtime,maana hata yeye anamiriki kituo Cha redio na tv,
Sasa hapo chuki inakuwa kubwa,wanaona wakimkaeibisha atazidi kuwa tajiri,lakini kumbe tayari ni tajiri,sasa hapo wanabski kwenye dilema.
Kingine,Mond dau lake kubwa,yeye ni brand,na Kuna bidhaa anazitangsza,sasa hawezi kwenda kwenye tukio linalodhaminiwa na bidhaa kinzani na ile anayoiwakilisha.
Zinapigwa, otherwise ambavyo huwa wanajinasibu na kauli ya 'hii ni yetu sote' wanadau wangeshawaumbua.Sijawah ona mim kila nikiangalia mziki
Sijawah onaZinapigwa, otherwise ambavyo huwa wanajinasibu na kauli ya 'hii ni yetu sote' wanadau wangeshawaumbua.
Hawawezi kurudia makosa yaliyofanywa na media zilizowatangulia.
Ni wivu tu,ipo hv "people fear what they don't understand,hate what they can't conquer"
Diamond amebadilisha status quo ya game la muziki,wale walifikiri ndio wanastahili kuwa ma don wa game,hawaelewi imewezekana VP kijana wa Tandale ameweza kuwa music Mogul, tycoon wa bongofleva.
Billionaire wa music game!
Kijana ana pesa ndeefe,sasa wale waliokuwa wanaojiona wapo juu kstk industry kutokana na nafasi zao,ama watangazaji,au wamiriki wa vyombo vya habari,wamekuja kushituka kwamba mond haitaji kuwapigia magoti Ili kupata airtime,maana hata yeye anamiriki kituo Cha redio na tv,
Sasa hapo chuki inakuwa kubwa,wanaona wakimkaeibisha atazidi kuwa tajiri,lakini kumbe tayari ni tajiri,sasa hapo wanabski kwenye dilema.
Kingine,Mond dau lake kubwa,yeye ni brand,na Kuna bidhaa anazitangsza,sasa hawezi kwenda kwenye tukio linalodhaminiwa na bidhaa kinzani na ile anayoiwakilisha.
Kwamba hao wengine wote ndio wenye tatizo? Kwamba kwa upande wa diamond mwenyewe hana tatizo lolote? Hapa kuna namna mbili either hao watu wanamchukia diamond kwa mafanikio yake au diamond mwenyewe kajitenga kwa kufikiria apendwi kwa sababu ya mafanikio yake yaani hata akifanyiwa kosa la kibinadamu tu anajua vigisu hizi
Ila wanaoimba " amelowa amelowa"Nani amualike atuimbie upuuzi wake ati "...inama chuma mchicha nikukamulie mafuta..."puuuu!!!! Laana tupu
🤣🤣🤣🤣🤣Ila wanaoimba " amelowa amelowa"
"amenyeshewa na mvua" ndio waalikwe[emoji3061]