Kwanini Diamond Platnumz anavaa msalaba?

Unataka kutuambia kwenye biblia kuna mkono wa shetani ?, what a ridiculous comment !! Kama ni hivyo hakuna maana ya kuiita biblia kuwa ni takatifu ili Hali shetani ashaichezea tayar
 
Nimekuuliza swali wewe moja unaniletea mashairi sijui ya gazeti gani.

Nini kinayapa ujasiri na ukweli maneno yako mpaka sisi tuyaamini?

Kwanini tuamini maneno yako?

Jibu kinagaubaga usilete viroja na maneno meeengi yaliyojaa mambo ya kutungwa tu
Sina muda wa kubishana na watu wasiotaka kushughulisha akili zao
 
The Cross means many things to many people. Some have it displayed on their mantel, others wear it around their neck.The Cross means LOVE.
 
Unataka kutuambia kwenye biblia kuna mkono wa shetani ?, what a ridiculous comment !! Kama ni hivyo hakuna maana ya kuiita biblia kuwa ni takatifu ili Hali shetani ashaichezea tayar
Amini nakwambia kilichoandikwa kwenye Biblia ile original kilikuwa sahihi kabisa, lakini waliofanya "tafsiri" (translation) ndiyo waliopotosha maana halisi.

Lakini hawakuweza kupotosha kila neno na ndiyo maana leo hii wapo watu wachache wanaoujua UKWELI. Wengi wenu mpo "gizani".

Na ni kweli wala usishangae, Shetani ameweka mkono wake kwenye Biblia. Ndiyo maana kwenye Biblia kuna mstari unasema hivi:
"jaribuni mambo yote, lishikeni lililo jema na jitengeni na ubaya wa kila namna". 1Wathesalonike 5:21-22

Kama Biblia ingekuwa haijachezewa na Shetani basi Paulo asingesema, "jaribuni mambo yote, lishikeni lililo jema".

Usidanganyike, YESU KRISTO hakubeba "msalaba" bali alibeba "nguzo" na alitundikwa juu ya nguzo na siyo msalaba kama ulivyoaminishwa.
 
Mkuu acha kudanganya watu.
 
Nini kinayapa ujasiri na ukweli maneno yako mpaka sisi tuyaamini?

Kwanini tuamini maneno yako?
Maneno yangu ni ukweli mtupu. Nimekwambia Agano Jipya liliandikwa kwa lugha ya Kigiriki cha kale kinachoitwa Koine Greece. Katika maandiko yale original ya Agano Jipya hakuna neno msalaba bali neno lililotafsiriwa kama msalaba ni Stauros na neno hili linamaana ya nguzo na siyo msalaba.

Ukweli ndiyo huo na watu wote waliojifunza theology wanaujua ukweli huu. Na wewe unaweza pia ukaujua ukweli huu na ukathibitisha maneno yangu ikiwa tu utaishughulisha akili yako kidogo kuutafuta UKWELI.

Na isitoshe Biblia yenyewe inakuelezea kuwa YESU alitundikwa "mtini" kama vile ambavyo Musa alimtundika yule nyoka wa shaba mtini. Musa hakutumia "msalaba" vivyo hivyo YESU hakutumia msalaba.

Na tena historia ya mambo ya kale inaelezea wazi kabisa kuwa msalaba ulikuwa ukitumiwa na Wapagani wa kale kabla hata YESU hajazaliwa duniani. Biblia nayo inakwambia wazi kabisa kuwa MUNGU hafungamani wala hana shirika na upagani.

Yote hayo yapo wazi lakini bado wewe unabishana na mimi.
 
Yeye si muislamu
 
Sasa kuna haja gani kutumia kitu ambacho kimechezewa na shetani , kama kina mkono wa shetani hakifai kuitwa kitakatifu na hakiaminiki tena, mkuu mbna umeandika ujinga Sana aisee , Biblia ni takatifu , changamoto ni tafsri basi , na anayetafsir maandiko Kwa usahihi ni roho matakatifu Kwa njia ya maombi na kujinyeyekeza , tofaut na hapo utaishia kujitafasria na kujiwekea conclusion wewe mwenyewe, Biblia inasimama Kwa ukamilifu wake na inajitosheleza Kwa mahitaj ya binadamu , hakuna ujinga wwte shetani ashawahi kuingiza kwenye maandiko matakatifu ili kupotosha na hawezi....Issue ya msalaba na mtini hzo ni tafsiri , na hyo ipo pote , maandiko ya Kwanza kabisa yalijitosheleza Kwa lugha yake , tafsir kutoa lugha original kuja kingereza kuna ufanisi fulan ulipungua, kutoka kingereza kuja Kiswahili na other local language pia kuna ufanisi ulipungua na hzo ni changamoto za lugha ya kibinadamu , ugumu ambao hata Yohana aliupata kipind anaandika kitabu cha Ufunuo , Mbali na changamoto hzo bado maandiko yanabaki kuwa matakatifu ...!!!

Iwe alitundikwa mtini au msalabani maana au lengo la kitendo hcho halibadiliki na hakuna effect yyte Ile kiroho , ni ujinga kubishana et msalaba na mtini ,..... Concept ni kuwa Yesu alikufa msalabani ( wewe unaita mtini) ili kuokoa Ulimwengu Kwa kuwapa wanadamu second chance ya toba,...ili kila amwaminiye apate uzima wa Milele , sasa hayo mambo ya kuanza kuchunguza sjui msalaba , mara mtini mara free mason hyo ni ya kwenu sasa na yakikutoa kwenye reli hakuna mtu atahusika .....
 
Unataka kutuambia kwenye biblia kuna mkono wa shetani ?, what a ridiculous comment !! Kama ni hivyo hakuna maana ya kuiita biblia kuwa ni takatifu ili Hali shetani ashaichezea tayar
Hiyo ni point moja, ya pili ni kwamba anajua ni wapi shetani kachakachua wapi kaacha?
Kwahiyo Mungu anayetuambia Biblia ni neno lake lililo hai, lenye makali kuwili na lenye kupasua nafsi na mafuta, LIMECHAKACHULIWA na Ibilisi?

Jamaa kachemka kweli..
 
Thibitisha uongo wangu.
Unachotuambia ni kwamba Yesu hakutundikwa msalabani? Haya hebu tutoe neno msalaba kwenye hii verse, tuweke neno mti au nguzo halafu useme inaleta maana gani..

Kwa sababu neno la msalaba kwao wanaopotea ni upuzi, bali kwetu sisi tunaookolewa ni nguvu ya Mungu.
1 Kor 1:18 SUV


For the message of the cross is foolishness to those who are perishing, but to us who are being saved it is the power of God.
I Corinthians 1:18 NKJV
 

Maskini mtoto wa Ellen
 
You're so brainwashed na unashindwa kutumia commonsense, yaani yale uliyokaririshwa unadhani wote humu JF wako kama wewe.
Unachagua versions za kuamini kama ulivyokaririshwa, pity you. Kigezo kipi kinakufanya uone Greek version ndiyo sahihi? Wahusika kwenye hizo story za kwenye Bible walikuwa Wagiriki au walikuwa wakiongea Kigiriki? Kama si hivyo kwanini uamini translations from the original language to Greek?
Wengine tuna akili timamu hivyo tunauwezo wa kuchambua mambo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…