Msalaba na jumlisha Ni vitu viwili tofauti,sema ukiviangalia juu juu utaona Ni sawa, kwenye msalaba panapopishana zile alama Ni juu kidogo,wakati kwenye jumlisha Ni katikatiAndiko lipi linasema Yesu hakuangikwa msalabani?
Nakubaliana na wewe kuwa asili ya msalaba siyo ukiristo, lakini Yesu Kristo alisulubiwa Kisha akaangikwa msalabani.
Maana ya msalaba Ni mihimili miwili inayokinzana.
Jumlisha pia Ni sehemu ya alama ya msalaba ( rejea red Cross n.k)
Hivi hujui kwamba kutokana na "udanganyifu" kuwa YESU alibeba "msalaba", leo hii Wakristo waliodaanganyika wanaabudu "msalaba"?Sasa kuna haja gani kutumia kitu ambacho kimechezewa na shetani , kama kina mkono wa shetani hakifai kuitwa kitakatifu na hakiaminiki tena, mkuu mbna umeandika ujinga Sana aisee , Biblia ni takatifu , changamoto ni tafsri basi , na anayetafsir maandiko Kwa usahihi ni roho matakatifu Kwa njia ya maombi na kujinyeyekeza , tofaut na hapo utaishia kujitafasria na kujiwekea conclusion wewe mwenyewe, Biblia inasimama Kwa ukamilifu wake na inajitosheleza Kwa mahitaj ya binadamu , hakuna ujinga wwte shetani ashawahi kuingiza kwenye maandiko matakatifu ili kupotosha na hawezi....Issue ya msalaba na mtini hzo ni tafsiri , na hyo ipo pote , maandiko ya Kwanza kabisa yalijitosheleza Kwa lugha yake , tafsir kutoa lugha original kuja kingereza kuna ufanisi fulan ulipungua, kutoka kingereza kuja Kiswahili na other local language pia kuna ufanisi ulipungua na hzo ni changamoto za lugha ya kibinadamu , ugumu ambao hata Yohana aliupata kipind anaandika kitabu cha Ufunuo , Mbali na changamoto hzo bado maandiko yanabaki kuwa matakatifu ...!!!
Iwe alitundikwa mtini au msalabani maana au lengo la kitendo hcho halibadiliki na hakuna effect yyte Ile kiroho , ni ujinga kubishana et msalaba na mtini ,..... Concept ni kuwa Yesu alikufa msalabani ( wewe unaita mtini) ili kuokoa Ulimwengu Kwa kuwapa wanadamu second chance ya toba,...ili kila amwaminiye apate uzima wa Milele , sasa hayo mambo ya kuanza kuchunguza sjui msalaba , mara mtini mara free mason hyo ni ya kwenu sasa na yakikutoa kwenye reli hakuna mtu atahusika .....
Narudia kukuambia tena, katika maandiko ya Agano Jipya hakukuwa na neno "msalaba" . Hapo kwenye hilo andiko neno sahihi ni "mti" au "nguzo" maana YESU alitundikwa "mtini".Unachotuambia ni kwamba Yesu hakutundikwa msalabani? Haya hebu tutoe neno msalaba kwenye hii verse, tuweke neno mti au nguzo halafu useme inaleta maana gani..
Kwa sababu neno la msalaba kwao wanaopotea ni upuzi, bali kwetu sisi tunaookolewa ni nguvu ya Mungu.
1 Kor 1:18 SUV
1 Kor 1:18 Kwa sababu neno la msalaba kwao wanaopotea ni upuzi, bali kwetu sisi tunaookolewa ni nguvu ya Mungu. | Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia (SUV) | Download The Bible App Now
Kwa sababu neno la msalaba kwao wanaopotea ni upuzi, bali kwetu sisi tunaookolewa ni nguvu ya Mungu.bible.com
For the message of the cross is foolishness to those who are perishing, but to us who are being saved it is the power of God.
I Corinthians 1:18 NKJV
I Corinthians 1:18 For the message of the cross is foolishness to those who are perishing, but to us who are being saved it is the power of God. | New King James Version (NKJV) | Download The Bible App Now
For the message of the cross is foolishness to those who are perishing, but to us who are being saved it is the power of God.bible.com
Mimi ni mtoto wa BABA MUNGU.Maskini mtoto wa Ellen
Mimi ni mtoto wa BABA MUNGU.Maskini mtoto wa Ellen
Kwani vitabu vya Agano Jipya, original manuscript ziliandikwa kwa lugha gani kama siyo Kigiriki??You're so brainwashed na unashindwa kutumia commonsense, yaani yale uliyokaririshwa unadhani wote humu JF wako kama wewe.
Unachagua versions za kuamini kama ulivyokaririshwa, pity you. Kigezo kipi kinakufanya uone Greek version ndiyo sahihi? Wahusika kwenye hizo story za kwenye Bible walikuwa Wagiriki au walikuwa wakiongea Kigiriki? Kama si hivyo kwanini uamini translations from the original language to Greek?
Wengine tuna akili timamu hivyo tunauwezo wa kuchambua mambo. View attachment 1859734
Jibu swali, characters wa kwenye hivyo vitabu walikuwa Wagiriki au walikuwa wakitumia lugha ya Kigiriki?Mimi ni mtoto wa BABA MUNGU.
Huyo ellen ndio nani?????
Kwani vitabu vya Agano Jipya, original manuscript ziliandikwa kwa lugha gani kama siyo Kigiriki??
Kama unajua Kiingereza hebu soma hii:
Language of the New Testament
The New Testament was written in a form of Koine Greek,[1][2] which was the common language of the Eastern Mediterranean[3][4][5][6] from the conquests of Alexander the Great (335–323 BC) until the evolution of Byzantine Greek (c. 600).
Mind you, nina maana the whole Bible siyo uje na references za New Testament peke yake. Nijue kama hata the likes of Abraham au Solomon au David au Moses kwa nao walikuwa wakitumia Kigiriki au original records za hadithi zao wakati wa enzi zao zilikuwa zinaandikwa kwa Kigiriki na hata kama Jesus pia alikuwa anatumia(anazungumza/anahubiri) Kigiriki.Mimi ni mtoto wa BABA MUNGU.
Huyo ellen ndio nani?????
Kwani vitabu vya Agano Jipya, original manuscript ziliandikwa kwa lugha gani kama siyo Kigiriki??
Kama unajua Kiingereza hebu soma hii:
Language of the New Testament
The New Testament was written in a form of Koine Greek,[1][2] which was the common language of the Eastern Mediterranean[3][4][5][6] from the conquests of Alexander the Great (335–323 BC) until the evolution of Byzantine Greek (c. 600).
Unabishana na KJV haya.. [emoji38]Narudia kukuambia tena, katika maandiko ya Agano Jipya hakukuwa na neno "msalaba" . Hapo kwenye hilo andiko neno sahihi ni "mti" au "nguzo" maana YESU alitundikwa "mtini".
Tutabishana mpaka kesho lakini UKWELI utabakia kuwa UKWELI. BWANA YESU hakubeba "msalaba" bali alibeba "nguzo".
Na isitoshe maandiko hayo ya 1Wakorintho 1:18 yanamaanisha "kitendo cha YESU kutundikwa mtini" na wala hayamaanishi watu wauabudu "mti" uliotumika.
Yaani watu wanaopinga kitendo cha YESU kufa mtini kwa ajili ya ondoleo la dhambi. Kitendo cha YESU kufa mtini ndiyo hasa hiyo "message of the stauros" au "neno la nguzo au mti".
nadhani anavaa msalaba kama pambo tu, sio kwa imani, na sio kosa muislamu kuvaa cross au plus kwa kujipamba. Lakini tena sisi hatujui kama DIAMONDI msalaba anauvaa kutokana na imani au la! Na ingependeza zaidi aulizwe mwenyewe.Masheikh, Masharif, Maustadh naombeni mje mtujuze, je kiutaratibu inakuaje pale muislam anapovaa msalaba? Au ni pambo tu halina ubaya?
Maana naona Nassib Abdul maarufu kama Diamond Platnumz amekuwa na utaratibu wa kuvaa msalaba siku za karibuni ilhali yeye ni muislam.
View attachment 1851816
Msalaba ni aina ya adhabu ya wahalifu kutundikwa juu kupigiwa misumari, kabla ya Yesu kuzaliwa utawala wa kirumi ulikua ukitumiwa kwa kuwaadhibu wahalifu na Yesu alitabiri kuja kuadhibiwa kwenye msalaba na kufa juu yake tu.kwa hivyo msalaba hauna maana nyingine zaidi ya hiyo na ndio maana madhebu mengine ya kikristu kama WASABATO, hawauamini msalaba.Unaelewa msalaba ni nini?
Je, unajua kuwa asili ya msalaba siyo "Ukristo??"
Je, unajua kuwa YESU KRISTO hakubeba msalaba (+) bali alibeba nguzo (I)?
Je, unajua kuwa kanisa la KWELI la MUNGU halitumii "msalaba" maana asili ya msalaba (+) ni upagani?
Ukijua hayo hutaona ajabu kwa Diamond Platinumz kuvaa msalaba.
Haujaelezea facts bali umeelezea hadithi ulizozisoma, ukazikariri na kuziami which in real sense is far from being facts.Nimekwambia soma comment namba #31 utaona nimeelezea kwa facts siyo mihemko.
Msalaba pia ni ishara ya hope(matumaini), I mean kutoka Red Cross organization.Msalabani pia ni ishara ya freemason.
Hili analijua, nia na madhumi yake ni;Huo "ukweli" unaouamini ndiyo upotoshaji wenyewe wa ibilisi, hicho kigiriki hakiwezi kubeba tafsiri ya mwanzo ya matukio ya kibiblia kwa kuwa lugha muhimu ya kibiblia Ni kiebrania ( Hebrew) na siyo kigiriki Cha Athens!
yaani mbagala boy kwa snoop anaonekana mbilikimo nguchiro kabisaMasheikh, Masharif, Maustadh naombeni mje mtujuze, je kiutaratibu inakuaje pale muislam anapovaa msalaba? Au ni pambo tu halina ubaya?
Maana naona Nassib Abdul maarufu kama Diamond Platnumz amekuwa na utaratibu wa kuvaa msalaba siku za karibuni ilhali yeye ni muislam.
View attachment 1851816
You are good upstairs ,nimependa sana unavyojenga hoja zako with some referenceTatizo ni tafsiri iliyofanywa. Vitabu vyote vya Agano Jipya viliandikwa kwa lugha ya Kigiriki isipokuwa tu ule Waraka kwa Waebrania.
Sasa waliotafsiri mwanzoni ndiyo walikosea au walifanya makusudi hiyo haijulikani.
Iko hivi :
Katika zile original manuscript za hivyo vitabu vya Agano Jipya hakuna neno "msalaba" kwa lugha ya Kigiriki isipokuwa lipo neno "nguzo". Waliotafsiri badala ya kuandika nguzo, wao wakaandika "msalaba".
Neno linalopatikana kwenye hizo manuscript ni "Stauros". Neno hili ni la Kigiriki likimaanisha "pole" or "stake" kwa Kiingereza au "nguzo" kwa Kiswahili.
Hata neno "kusulubishwa" lilitafsiriwa kimakosa pia. Kusulubiwa Kigiriki iliandikwa "sustauroo" na maana yake halisi ni "to impale" kwa Kiingereza au "kutundika mtini" kwa Kiswahili.
Hivyo kwa tafsiri sahihi na ya UKWELI, ni kwamba BWANA YESU alitundikwa mtini na siyo alisulubishwa msalabani.
Kuna udanganyifu mkubwa sana uliofanywa kwenye Biblia na wahuni wachache kwa lengo la kuwapotosha Wanadamu wasiojishughulisha kuitafuta KWELI ya MUNGU. Udanganyifu huo ni mbinu ya Shetani kuwafanya wanadamu waabudu "msalaba" ambao ni alama yake Ibilisi.
Wengi wenu mtanibishia sababu hamijui KWELI na hii KWELI imefichwa hata mkiambiwa hamwezi kuamini. Lakini wale wachache wanoijiua KWELI wanaelewa ninachokisema.
Kitendo cha YESU kutundikwa "mtini" kilikuwa kinaakisi kile kitendo cha Musa kumtundika "mtini" yule nyoka wa shaba. Musa hakutumia "msalaba" kumtundika yule nyoka bali alitumia "nguzo ya mti". Hebu soma hapa:
8 The Lord said to Moses, “Make a snake and put it up on a pole;(A) anyone who is bitten can look at it and live.” 9 So Moses made a bronze snake(B) and put it up on a pole. Then when anyone was bitten by a snake and looked at the bronze snake, they lived.(C)
Kwa Kiswahili:
"Bwana akamwambia Musa, jifanyie nyoka ya shaba ukaiweke juu ya mti, na itakuwa kila mtu aliyeumwa aitazamapo ataishi. Musa akafanya nyoka ya shaba, akaiweka juu ya mti, hata ikiwa nyoka amemwuma mtu, alipoitazama ile nyoka ya shaba akaishi". Hesabu 21:8-9
Sasa hapo juu utaona neno lililotumika kwa Kiingereza ni "pole" (mti au nguzo) na siyo "cross" (msalaba).
Soma Matendo ya Mitume 5:30..
"MUNGU wa baba zetu alimfufua YESU ambaye ninyi mlimwua mkimtundika katika mti".
Hapa tunaona Mtume Petro anakiri wazi kabisa kuwa YESU alitundikwa kwenye "mti". Tena ukiendelea kusoma mstari wa 32, (Matendo 5:32) utaona Petro anasema yeye na Mitume wenzake ni mashahidi wa yaliyotokea. Yaani ni mashahidi kwamba walimwona YESU akitundikwa kwenye "mti" na siyo "msalabani".
Msalaba asili yake ni "upagani". Misalaba ilianza kutumiwa na wapagani wa kale tokea enzi za Tamuz kabla hata ya Israeli kuwa taifa.
MUNGU hafungamani na kitu chochote kile cha "upagani" wala MUNGU hawezi kamwe kumuunganisha Mwanae na mambo ya kipagani. Soma 2Wakorintho 6:15-16.