Kwanini Diamond Platnumz anavaa msalaba?

Kwanini Diamond Platnumz anavaa msalaba?

😂😂 Bonge moja la point japo limekaa kiutaji utani hivii.
Ni kweli kabisa mkuu what if diamond anaamini huo si msalaba ni jumlisha.

Na kuna ule wimbo mwishoni anakwambia jua tutofautisha kati ya msalaba na jumlisha.
Mleta mada umejuaje kua huo ni msalaba na sio jumlisha??
kumbe inaweza kua hata wakristo wakawa wanachukiwa bure na waislam kua wanatumia misalaba kumbe sio ni jumlisha tu
 
kumbe inaweza kua hata wakristo wakawa wanachukiwa bure na waislam kua wanatumia misalaba kumbe sio ni jumlisha tu
Ushasema wakristo mkuu, wakristo wanaamini ule ni msalaba. Ila kwa diamond amabe ni muislam ndio kuna mkanganyiko anaamini nini ikiwa dini yake haiamini mambo ya misalama kwahiyo apo hatuna jibu sahihi analo mwenyewe.

Kwa wakristo ni 100% msalaba coz ndio imani yao imelea huko.
 
Ushasema wakristo mkuu, wakristo wanaamini ule ni msalaba. Ila kwa diamond amabe ni muislam ndio kuna mkanganyiko anaamini nini ikiwa dini yake haiamini mambo ya misalama kwahiyo apo hatuna jibu sahihi analo mwenyewe.

Kwa wakristo ni 100% msalaba coz ndio imani yao imelea huko.
we uonavyo unaona wakristo wako sahihi kusema ule ni msalaba au wamepotoka?
 
Masheikh, Masharif, Maustadh naombeni mje mtujuze, je kiutaratibu inakuaje pale muislam anapovaa msalaba? Au ni pambo tu halina ubaya?

Maana naona Nassib Abdul maarufu kama Diamond Platnumz amekuwa na utaratibu wa kuvaa msalaba siku za karibuni ilhali yeye ni muislam.

View attachment 1851816
Lazma alambishwe matako ndo ashinde Grammy...
 
Masheikh, Masharif, Maustadh naombeni mje mtujuze, je kiutaratibu inakuaje pale muislam anapovaa msalaba? Au ni pambo tu halina ubaya?

Maana naona Nassib Abdul maarufu kama Diamond Platnumz amekuwa na utaratibu wa kuvaa msalaba siku za karibuni ilhali yeye ni muislam.

View attachment 1851816

Akivaa hivyo Khaled Mohammed Khaled a.k.a DJ Khaled utauliza?
 
Andiko lipi linasema Yesu hakuangikwa msalabani?

Nakubaliana na wewe kuwa asili ya msalaba siyo ukiristo, lakini Yesu Kristo alisulubiwa Kisha akaangikwa msalabani.

Maana ya msalaba Ni mihimili miwili inayokinzana.

Jumlisha pia Ni sehemu ya alama ya msalaba ( rejea red Cross n.k)
Tatizo ni tafsiri iliyofanywa. Vitabu vyote vya Agano Jipya viliandikwa kwa lugha ya Kigiriki isipokuwa tu ule Waraka kwa Waebrania.

Sasa waliotafsiri mwanzoni ndiyo walikosea au walifanya makusudi hiyo haijulikani.
Iko hivi :
Katika zile original manuscript za hivyo vitabu vya Agano Jipya hakuna neno "msalaba" kwa lugha ya Kigiriki isipokuwa lipo neno "nguzo". Waliotafsiri badala ya kuandika nguzo, wao wakaandika "msalaba".

Neno linalopatikana kwenye hizo manuscript ni "Stauros". Neno hili ni la Kigiriki likimaanisha "pole" or "stake" kwa Kiingereza au "nguzo" kwa Kiswahili.
Hata neno "kusulubishwa" lilitafsiriwa kimakosa pia. Kusulubiwa Kigiriki iliandikwa "sustauroo" na maana yake halisi ni "to impale" kwa Kiingereza au "kutundika mtini" kwa Kiswahili.

Hivyo kwa tafsiri sahihi na ya UKWELI, ni kwamba BWANA YESU alitundikwa mtini na siyo alisulubishwa msalabani.

Kuna udanganyifu mkubwa sana uliofanywa kwenye Biblia na wahuni wachache kwa lengo la kuwapotosha Wanadamu wasiojishughulisha kuitafuta KWELI ya MUNGU. Udanganyifu huo ni mbinu ya Shetani kuwafanya wanadamu waabudu "msalaba" ambao ni alama yake Ibilisi.

Wengi wenu mtanibishia sababu hamijui KWELI na hii KWELI imefichwa hata mkiambiwa hamwezi kuamini. Lakini wale wachache wanoijiua KWELI wanaelewa ninachokisema.

Kitendo cha YESU kutundikwa "mtini" kilikuwa kinaakisi kile kitendo cha Musa kumtundika "mtini" yule nyoka wa shaba. Musa hakutumia "msalaba" kumtundika yule nyoka bali alitumia "nguzo ya mti". Hebu soma hapa:

8 The Lord said to Moses, “Make a snake and put it up on a pole;(A) anyone who is bitten can look at it and live.” 9 So Moses made a bronze snake(B) and put it up on a pole. Then when anyone was bitten by a snake and looked at the bronze snake, they lived.(C)

Kwa Kiswahili:
"Bwana akamwambia Musa, jifanyie nyoka ya shaba ukaiweke juu ya mti, na itakuwa kila mtu aliyeumwa aitazamapo ataishi. Musa akafanya nyoka ya shaba, akaiweka juu ya mti, hata ikiwa nyoka amemwuma mtu, alipoitazama ile nyoka ya shaba akaishi". Hesabu 21:8-9

Sasa hapo juu utaona neno lililotumika kwa Kiingereza ni "pole" (mti au nguzo) na siyo "cross" (msalaba).

Soma Matendo ya Mitume 5:30..
"MUNGU wa baba zetu alimfufua YESU ambaye ninyi mlimwua mkimtundika katika mti".
Hapa tunaona Mtume Petro anakiri wazi kabisa kuwa YESU alitundikwa kwenye "mti". Tena ukiendelea kusoma mstari wa 32, (Matendo 5:32) utaona Petro anasema yeye na Mitume wenzake ni mashahidi wa yaliyotokea. Yaani ni mashahidi kwamba walimwona YESU akitundikwa kwenye "mti" na siyo "msalabani".

Msalaba asili yake ni "upagani". Misalaba ilianza kutumiwa na wapagani wa kale tokea enzi za Tamuz kabla hata ya Israeli kuwa taifa.
MUNGU hafungamani na kitu chochote kile cha "upagani" wala MUNGU hawezi kamwe kumuunganisha Mwanae na mambo ya kipagani. Soma 2Wakorintho 6:15-16.
 
Hizi dini hizi, sema wewe ndivo unavoamini na hiyo ndo kweli yako.
Mi naamini Yesu alibeba msalaba sio nguzo wala mti kama baadhi ya madhehebu yanavodai.

Mwisho.
Soma reply yangu namba #31 na utaelewa namaanisha nini.
 
Vitabu vyao vimesema hivyo na imetafsiriwa ivo.
Na maana ya msalaba ndio hiyo mkuu, katika kamusi pia hiyo ndio maana yake.
So ni sahihi kwasababu vitabu vyao vimesema au wote pamoja na vitabu vyao wamepotoka?
 
Tatizo ni tafsiri iliyofanywa. Vitabu vyote vya Agano Jipya viliandikwa kwa lugha ya Kigiriki isipokuwa tu ule Waraka kwa Waebrania.

Sasa waliotafsiri mwanzoni ndiyo walikosea au walifanya makusudi hiyo haijulikani.
Iko hivi :
Katika zile original manuscript za hivyo vitabu vya Agano Jipya hakuna neno "msalaba" kwa lugha ya Kigiriki isipokuwa lipo neno "nguzo". Waliotafsiri badala ya kuandika nguzo, wao wakaandika "msalaba".

Neno linalopatikana kwenye hizo manuscript ni "Stauros". Neno hili ni la Kigiriki likimaanisha "pole" or "stake" kwa Kiingereza au "nguzo" kwa Kiswahili.
Hata neno "kusulubishwa" lilitafsiriwa kimakosa pia. Kusulubiwa Kigiriki iliandikwa "sustauroo" na maana yake halisi ni "to impale" kwa Kiingereza au "kutundika mtini" kwa Kiswahili.

Hivyo kwa tafsiri sahihi na ya UKWELI, ni kwamba BWANA YESU alitundikwa mtini na siyo alisulubishwa msalabani.

Kuna udanganyifu mkubwa sana uliofanywa kwenye Biblia na wahuni wachache kwa lengo la kuwapotosha Wanadamu wasiojishughulisha kuitafuta KWELI ya MUNGU. Udanganyifu huo ni mbinu ya Shetani kuwafanya wanadamu waabudu "msalaba" ambao ni alama yake Ibilisi.

Wengi wenu mtanibishia sababu hamijui KWELI na hii KWELI imefichwa hata mkiambiwa hamwezi kuamini. Lakini wale wachache wanoijiua KWELI wanaelewa ninachokisema.

Kitendo cha YESU kutundikwa "mtini" kilikuwa kinaakisi kile kitendo cha Musa kumtundika "mtini" yule nyoka wa shaba. Musa hakutumia "msalaba" kumtundika yule nyoka bali alitumia "nguzo ya mti". Hebu soma hapa:

8 The Lord said to Moses, “Make a snake and put it up on a pole;(A) anyone who is bitten can look at it and live.” 9 So Moses made a bronze snake(B) and put it up on a pole. Then when anyone was bitten by a snake and looked at the bronze snake, they lived.(C)

Kwa Kiswahili:
"Bwana akamwambia Musa, jifanyie nyoka ya shaba ukaiweke juu ya mti, na itakuwa kila mtu aliyeumwa aitazamapo ataishi. Musa akafanya nyoka ya shaba, akaiweka juu ya mti, hata ikiwa nyoka amemwuma mtu, alipoitazama ile nyoka ya shaba akaishi". Hesabu 21:8-9

Sasa hapo juu utaona neno lililotumika kwa Kiingereza ni "pole" (mti au nguzo) na siyo "cross" (msalaba).

Soma Matendo ya Mitume 5:30..
"MUNGU wa baba zetu alimfufua YESU ambaye ninyi mlimwua mkimtundika katika mti".
Hapa tunaona Mtume Petro anakiri wazi kabisa kuwa YESU alitundikwa kwenye "mti". Tena ukiendelea kusoma mstari wa 32, (Matendo 5:32) utaona Petro anasema yeye na Mitume wenzake ni mashahidi wa yaliyotokea. Yaani ni mashahidi kwamba walimwona YESU akitundikwa kwenye "mti" na siyo "msalabani".

Msalaba asili yake ni "upagani". Misalaba ilianza kutumiwa na wapagani wa kale tokea enzi za Tamuz kabla hata ya Israeli kuwa taifa.
MUNGU hafungamani na kitu chochote kile cha "upagani" wala MUNGU hawezi kamwe kumuunganisha Mwanae na mambo ya kipagani. Soma 2Wakorintho 6:15-16.
Mkuu kwani msalaba hauwezi kua mti?

BTW hoja zako ni za msingi na fikirishi hazipaswi kupuuzwa. Hii mada ilipaswa itengewe uzi wake ijadiliwe kwa mapana zaidi.

Hili jukwaa sio rafiki kwa mada kama hii
 
Unaelewa msalaba ni nini?

Je, unajua kuwa asili ya msalaba siyo "Ukristo??"

Je, unajua kuwa YESU KRISTO hakubeba msalaba (+) bali alibeba nguzo (I)?

Je, unajua kuwa kanisa la KWELI la MUNGU halitumii "msalaba" maana asili ya msalaba (+) ni upagani?

Ukijua hayo hutaona ajabu kwa Diamond Platinumz kuvaa msalaba.
Ule msalaba wa Yesu aliobeba ulikaaje ,na kwanini Kama alama ya msalaba haimaanishi hivo kwanini makaburi ya waislam na wapagani na dini zingine hayawekwi msalaba ?
 
Unaelewa msalaba ni nini?

Je, unajua kuwa asili ya msalaba siyo "Ukristo??"

Je, unajua kuwa YESU KRISTO hakubeba msalaba (+) bali alibeba nguzo (I)?

Je, unajua kuwa kanisa la KWELI la MUNGU halitumii "msalaba" maana asili ya msalaba (+) ni upagani?

Ukijua hayo hutaona ajabu kwa Diamond Platinumz kuvaa msalaba.
Fanya homework alama ya kujumlisha na alama ya msalaba ipi ya kwanza halafu urudi
 
Back
Top Bottom