issa ramadhani
JF-Expert Member
- Nov 11, 2014
- 1,319
- 260
Kweli mtoa mada we ni lofa tena akili zisizo na akili.mtu kaishia darasa last saba afu huo mziki wa kihuni anaimba baada ya kuvuta bangi atunukiwe PHD? Ignorance is bliss
Kaimba na wasanii kibao wa kimataifa kwa kutumia lugha ya kiswahili katika song zake na za featuringishwa.Mufano Bracket ft Baba tifa-alive.
anatendea haki kabisa kwenye
UHAKIKI WA FASIHI SIMULIZI
na
LITERATURE IN ENGLISHMAN
na ametumia Flashback Narration kwa uzuri kabisa kwenye #JE UTANIPENDA??
kwa kweli jamaa anaweza.
Na naishauri serikali tutumie mashairi ya Dangote kujibia Mitihani ya NACTE ya madogo wetu wa pramari,skonga na yuniveziti.
keeping it just up!! Chief bin Wasafi Dangete.
Ametoa mchango mkubwa sana katika ukuzaji wa lugha adhimu ya kiswahili barani Afrika na dunia kwa ujumla. Vyuo vya Tanzania mulikeni hili hasa hasa chuo kikuu cha Dar es salaam idara ya kiswahili mchango wa huyu ndugu yetu.
DIAMOND anahadhi kubwa zaidi ya hiyo kama alivyosema Kidingi hapo juu,tena kwa kuongezea ni kwamba pia halishawahi kupata tuzo ya heshima inayotambuliwa kimataifa aliyoipata South Africa lakini si mbaya akaongezewa kwa vile anazidi kuipa heshima nchi yetu wazo zuri wahusika wamelisikia watalifanyia kazi kwa vile wanaona jitihada zake.