Kwanini Diamond Platnumz hatunukiwi PHD ya heshima au tunasubiri hadi siku akitutoka

Kwanini Diamond Platnumz hatunukiwi PHD ya heshima au tunasubiri hadi siku akitutoka

Kisa anakata viuno,basi na kangamoko wapewe phd
 
Ninaunga mkono hoja asilimia 1000000000

Asiyeona mchango wa diamond anamatatizo ya akili.. Huyu ni mtu mkubwa sana katika hii nchi, hata alipokuwa anaperform wakati wa uzinduzi kampeni za CCM, alivyoingia tu kwa stage meza kuu yote ilisimama KUTOA HESHIMA KWA PRESIDENT OF THE UNITED REPUBLIC OF BONGO FLAVOUR na kuanza kucheza mpaka alivyomaliza ndio wakakaa
 
Ametoa mchango mkubwa sana katika ukuzaji wa lugha adhimu ya kiswahili barani Afrika na dunia kwa ujumla. Vyuo vya Tanzania mulikeni hili hasa hasa chuo kikuu cha Dar es salaam idara ya kiswahili mchango wa huyu ndugu yetu.

Mpe yako
 
Kweli mtoa mada we ni lofa tena akili zisizo na akili.mtu kaishia darasa last saba afu huo mziki wa kihuni anaimba baada ya kuvuta bangi atunukiwe PHD? Ignorance is bliss

we ulie ishia secondary umefanya nn na unamiliki nn hujulikani hata mtaani kwenu acha wivu
 
Ametoa mchango mkubwa sana katika ukuzaji wa lugha adhimu ya kiswahili barani Afrika na dunia kwa ujumla. Vyuo vya Tanzania mulikeni hili hasa hasa chuo kikuu cha Dar es salaam idara ya kiswahili mchango wa huyu ndugu yetu.

Kamuulize kwanza kama anahitaji......
 
Kashamponza mganga wake. ...aliyekimbia Dola
Kweli DIAMOND ni jicho la TZ sasa hebu fikiria huyu mganga anamiaka kibao anafanya hii kazi ila alipofanyiwa promo na DIAMOND tu ameshakuwa gumzo la nchi.
 
Labda hao wahusika ziwe zimefyatu kama zako watampa.
Wewe zisiofyatuka unadhani kama amepewa hadhi ya kuwa NEMBO ya taifa a.k.a ICON kwanini asipewe na hii wakati walishampa hata tuzo ya heshima na chuo kikuu cha Dar (udsm)
 
we ulie ishia secondary umefanya nn na unamiliki nn hujulikani hata mtaani kwenu acha wivu

Suala sio kuishia secondary school au university entry level Suala ni analogical deduction achievement.mtu kama Diamond ambae anaharibu jamii kwa mziki wake ambao unachangia to corrupt the society eti apewe PHD unafanya mockery kwa walioenda shule. huo muziki wake ni wa kuufungia tu maana hauongezi chochote kwenye jamii other than promoting immorality
 
We ndio lofa kweli, hivi muziki wanaoimba ungekuwa si wa heshima kama unavyodai Wagombea urais wangekuwa wanawatumia kwenye kampeni??? Diamond alitumika na lowassa na JPM wote walielewa mchango wake wakaamua kusafiria nyota yake

Afu inaonekana ni mgeni kabisa kwenye suala la utoaji wa Phd ya heshima, hata kama hujasoma vidudu utapewa kutokana na mchango wako kwenye jamii

Unadharau wasanii, unafikiri kwanini kuna wizara inayohusu wasanii? je tokea tumepata uhuru Tanzania imepata heshima kwa kiwango kipi, na nani amehusika?

Acha nonsensical talk wewe sio unafata mtu blindly. Mwanaume anatoga masikio na kuweka Heleni atakuwa na mchango gani kwenye jamii other than spreading mischief through his music career.magufuli kumtumia yeye kwenye kampeni ni njia ya kuwadanganya wajinga wengi kumchagua ndio maana Tanzania ni nchi ya wajinga na wapumbavu uneducated illiterates morons
 
Back
Top Bottom