Alfred
JF-Expert Member
- Apr 13, 2008
- 2,093
- 2,843
Nakuja na Hii idea like Never Before!
Mwenyezi Mungu alituumba binadamu kama viumbe vyenye Nafsi ya Upendo
Tunaumiza na Kuumizwa lakini pamoja na yote hayo bado ile nafsi ya aliyotupa Mungu Baba bado ipo!
Asikudanganye mtu kutaka kuiangamiza au kuiondoa nafsi ya upendo uliyonayo, Maana ndo utu wako na Ndio Heshima Yako!
Twende Kwenye Mada!
Unampenda sana mtu flani? Kiasi kwamba hutaki ule upendo ulionao hutaki uje upungue?
Hili ni suluhisho Muhimu Kwako!
Tafuta Diary/Notebook Andika Hisia zako kuhusu unayempenda, andika Mipango yako Juu yake
Elezea Jinsi unavyompenda na Pia weka Ka kiapo kwamba utajicommit katika huo Upendo wako kwake!
Andika labda hutocheat na mipango mingine uliyonayo katika kichwa chako, Halfu ibariki kwa Jina la Mungu
Baada ya Hapo jitengenezee tabia ya kupenda kusoma Diary/Notebook, Hakika utaona Mabadiliko!
Alfred, The Wise Man
Mwenyezi Mungu alituumba binadamu kama viumbe vyenye Nafsi ya Upendo
Tunaumiza na Kuumizwa lakini pamoja na yote hayo bado ile nafsi ya aliyotupa Mungu Baba bado ipo!
Asikudanganye mtu kutaka kuiangamiza au kuiondoa nafsi ya upendo uliyonayo, Maana ndo utu wako na Ndio Heshima Yako!
Twende Kwenye Mada!
Unampenda sana mtu flani? Kiasi kwamba hutaki ule upendo ulionao hutaki uje upungue?
Hili ni suluhisho Muhimu Kwako!
Tafuta Diary/Notebook Andika Hisia zako kuhusu unayempenda, andika Mipango yako Juu yake
Elezea Jinsi unavyompenda na Pia weka Ka kiapo kwamba utajicommit katika huo Upendo wako kwake!
Andika labda hutocheat na mipango mingine uliyonayo katika kichwa chako, Halfu ibariki kwa Jina la Mungu
Baada ya Hapo jitengenezee tabia ya kupenda kusoma Diary/Notebook, Hakika utaona Mabadiliko!
Alfred, The Wise Man