residentura
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 8,146
- 11,434
Yesu anatibu roho na automatically mwili pia unapona.
Barakoa haitibu chochote ni ushuhuda wa uwoga mbele za Mungu..... Lakini ukiwa Bar vaa barakoa maana huko ni makao ya shetani!
Hahahaaaa........ hahahaaaa....... Usiogope.@johnthebaptist,nakushauri uendelee na propaganda za CCM,haya mambo ya imani,na hasahasa jina lipitalo majina yote,YESU KRISTO,achana nayo ndugu.
Kusoma pale kwa Mzee Magoti - Kivukoni hakukufanyi ukawa mtaalamu wa Maandiko Matakatifu.
Stay in your lane pal.
Unasumbuliwa na rangi? Jana MO ametoa barakoa nyekundu, zimegawiwa sehemu kubwa ya Kariakoo. Wengine wana za vitenge,rangirangi, kombati..........Unachofikiri sio kila mtu anafikiri. Mbowe kavaa viatu, vyeusi! Maana yake nini?
Mkuu, na wewe huwa unasali? Au unaenda tu kuonana na marafiki?Binafsi nikiwa kanisani sivai hiyo kitu.
...Unasumbuliwa na rangi? Jana MO ametoa barakoa nyekundu, zimegawiwa sehemu kubwa ya Kariakoo. Wengine wana za vitenge,rangirangi, kombati..........
Haya mambo ya kupindisha ukweli ndiyo residentura amesema unayaweza na siyo mambo ya KRISTO YESU.kuna aliyejua leo hii Chadema itakuwa inapumulia mashine?
Kama umemsikiliza Silinde jana utaelewa kuwa Chadema hali ni tete.Haya mambo ya kupindisha ukweli ndiyo residentura amesema unayaweza na siyo mambo ya KRISTO YESU.
Kanisani hakuna koronaHili Jambo limenishangaza kidogo.!
Dr. Kaleman leo akiwa Ofisi za TANESCO-GEITA alivaa Barakoa pamoja na wote waliokuwa nae lakini ameenda Kanisani kujumuika na Raisi akavua na kuonesha hali ni shwari na wale wote waliokuwa Kanisani leo hawakuwa na Wala hawakuvaa Barakoa, kuna kitu kilipangwa au?
Kwa ivo kwako wewe CHADEMA ni wabunge na sio Falsafa, Itikadi na mlengo wanaosimamia. Kwa ivo wabunge wote wakitoka tukibaki sisi tusio wabunge inakuwa siyo CHADEMA??Kama wabunge 19 wanatarajiwa kuhama ukijumlisha na hao wanne na hapo Mnyika hajaingizwa kwenye hesabu......kuna Chadema tena hapo?
Chadema haina falsafa vijana wengi wako pale kutafuta riziki ndio maana 2015 waliwakodi mzee Lowassa wa CCM na Duni Haji wa CufKwa ivo kwako wewe CHADEMA ni wabunge na sio Falsafa, Itikadi na mlengo wanaosimamia. Kwa ivo wabunge wote wakitoka tukibaki sisi tusio wabunge inakuwa siyo CHADEMA??
Silinde siyo rejea sahihi kwa wakati huu.
Bwashee muda utaongea!View attachment 1452633
johnthebaptist hawa hapa ni wanachadema. Hao 19 unaosema watahama CHADEMA wamo humu kwenye kundi hili la wanachadema?? Picha hii imepigwa Julai 14 2019.