residentura
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 8,146
- 11,434
@johnthebaptist,nakushauri uendelee na propaganda za CCM,haya mambo ya imani,na hasahasa jina lipitalo majina yote,YESU KRISTO,achana nayo ndugu.
Kusoma pale kwa Mzee Magoti - Kivukoni hakukufanyi ukawa mtaalamu wa Maandiko Matakatifu.
Stay in your lane pal.
Kusoma pale kwa Mzee Magoti - Kivukoni hakukufanyi ukawa mtaalamu wa Maandiko Matakatifu.
Stay in your lane pal.
Yesu anatibu roho na automatically mwili pia unapona.
Barakoa haitibu chochote ni ushuhuda wa uwoga mbele za Mungu..... Lakini ukiwa Bar vaa barakoa maana huko ni makao ya shetani!