Allen Kilewella
JF-Expert Member
- Sep 30, 2011
- 21,470
- 40,593
Kwa ivo huko kote Tanzania nzima CHADEMA inakozuiliwa kufanya kazi zake za kisiasa Mbowe huwa anakuwepo?Kwa sasa ngome ya Chadema ni Mbowe " binafsi " kwa sababu yeye ndio anakimiliki chama baada ya mzee Ndesamburo kutangulia mbele ya haki.
Kanisani kuna ulinzi wa Mungu barakoa za nini?!
Dua la Kuku!!Bwashee muda utaongea!
Huwezi kuitenganisha CCM na Dola......na hata ukiangalia usajili wa vyama vya siasa wa 1992 CCM ilisajiliwa kwa utaratibu tofauti na vyama vingine!Dua la Kuku!!
Sisi CHADEMA tunajua kwamba CCM ndiyo imechoka na imejitayarisha kutumia dola ili kuiangamiza CHADEMA. Lakini eti kusema CCM ina ubavu wa kushindana na CHADEMA yenyewe bila dola, hiyo ni ndoto ya Mchana. Kama CCM ni Imara unadhani ingekuwa inavuruga chaguzi mbali mbali??
Tatizo ni ujinga tu wa wakati ule wa baadhi ya watu kusema bila CCM hakuna Tanzania. Mahakama pia imekuwa ni upofu kwenye hoja hiyo!!Huwezi kuitenganisha CCM na Dola......na hata ukiangalia usajili wa vyama vya siasa wa 1992 CCM ilisajiliwa kwa utaratibu tofauti na vyama vingine!
Ile ilikuwa michezo ya kuigiza ili kuwaaminisha watu kuwa Corona siyo tishio tena! Huu mzaha gharama zake huwa ni irreversible...Hili Jambo limenishangaza kidogo.!
Dr. Kaleman leo akiwa Ofisi za TANESCO-GEITA alivaa Barakoa pamoja na wote waliokuwa nae lakini ameenda Kanisani kujumuika na Raisi akavua na kuonesha hali ni shwari na wale wote waliokuwa Kanisani leo hawakuwa na Wala hawakuvaa Barakoa, kuna kitu kilipangwa au?
Inaonekana kulikuwa na maagizo hapo kanisani watu wasivae..
Haiwezekani asiwepo mtu hata mmoja alievaa..
Kwahiyo hata hotuba yake ilikuwa well scripted..
Kaongea kama bahati mbaya but ilikuwa planned
MmhHili Jambo limenishangaza kidogo.!
Dr. Kaleman leo akiwa Ofisi za TANESCO-GEITA alivaa Barakoa pamoja na wote waliokuwa nae lakini ameenda Kanisani kujumuika na Raisi akavua na kuonesha hali ni shwari na wale wote waliokuwa Kanisani leo hawakuwa na Wala hawakuvaa Barakoa, kuna kitu kilipangwa au?