Pre GE2025 Kwanini Dkt. Slaa, Msigwa wanatajwa kuwa kampeni Meneja wa Lissu? Mbona juzi tu waliitwa wasaliti?

Pre GE2025 Kwanini Dkt. Slaa, Msigwa wanatajwa kuwa kampeni Meneja wa Lissu? Mbona juzi tu waliitwa wasaliti?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

chiembe

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2015
Posts
16,859
Reaction score
28,112
Dkt. Slaa ni mwana CCM, aliwasambaratisha chadema kwa kuwakimbia wakati UKAWA wakikaribia sana kuikamata nchi. Slaa akapelekwa hotelini Rwanda akapewa mabinti wa kihima, baadae ubalozi. Leo Dk Slaa ndio kampeninmeneja wa Lissu na Mtunza fedha.

Anashinda mitandaoni na genge lake ambalo linalipwa kwa ajili ya kuandaa mada. Kuna siku nilimsikia wajukuu zake wanamwambia babu piga mswaki unywe chai, bahati Mbaya alikuwa hajatoka online, sauti ikasikika

Pembeni kuna Msigwa, na yeye ni mtu wa ndani wa kampeni za Lissu, akiwa anasomba fedha kutoka sehemu mbali mbali anampa Lissukwa nia ya kuibomoa chadema.

Mtu anayezungukwa na watu wa aina hii ndio akabidhiwe chama?
 
CCM mnamchukia sana Lissu hadi mmeanza kutunga uongo kwa kukihusisha chama chenu wenyewe ili aonekane ni mwana ccm.
Yani mwana ccm kama wewe lissu angekuwa upande wenu usingekuwa unafungua thread kila dakika kumkandia huku ukimpigia kampeni mbowe. Tangu lini ukaipenda chadema kiasi kwamba uitakie mwenyekiti mwema.
 
Dkt. Slaa ni mwana CCM, aliwasambaratisha chadema kwa kuwakimbia wakati UKAWA wakikaribia sana kuikamata nchi. Slaa akapelekwa hotelini Rwanda akapewa mabinti wa kihima, baadae ubalozi. Leo Dk Slaa ndio kampeninmeneja wa Lissu na Mtunza fedha.

Anashinda mitandaoni na genge lake ambalo linalipwa kwa ajili ya kuandaa mada. Kuna siku nilimsikia wajukuu zake wanamwambia babu piga mswaki unywe chai, bahati Mbaya alikuwa hajatoka online, sauti ikasikika

Pembeni kuna Msigwa, na yeye ni mtu wa ndani wa kampeni za Lissu, akiwa anasomba fedha kutoka sehemu mbali mbali anampa Lissukwa nia ya kuibomoa chadema.

Mtu anayezungukwa na watu wa aina hii ndio akabidhiwe chama?
Maria space?
 
Dkt. Slaa ni mwana CCM, aliwasambaratisha chadema kwa kuwakimbia wakati UKAWA wakikaribia sana kuikamata nchi. Slaa akapelekwa hotelini Rwanda akapewa mabinti wa kihima, baadae ubalozi. Leo Dk Slaa ndio kampeninmeneja wa Lissu na Mtunza fedha.

Anashinda mitandaoni na genge lake ambalo linalipwa kwa ajili ya kuandaa mada. Kuna siku nilimsikia wajukuu zake wanamwambia babu piga mswaki unywe chai, bahati Mbaya alikuwa hajatoka online, sauti ikasikika

Pembeni kuna Msigwa, na yeye ni mtu wa ndani wa kampeni za Lissu, akiwa anasomba fedha kutoka sehemu mbali mbali anampa Lissukwa nia ya kuibomoa chadema.

Mtu anayezungukwa na watu wa aina hii ndio akabidhiwe chama?
Na mana Abdul ndiye mfadhili wa kampeni za Mbowe
 
Dkt. Slaa ni mwana CCM, aliwasambaratisha chadema kwa kuwakimbia wakati UKAWA wakikaribia sana kuikamata nchi. Slaa akapelekwa hotelini Rwanda akapewa mabinti wa kihima, baadae ubalozi. Leo Dk Slaa ndio kampeninmeneja wa Lissu na Mtunza fedha.

Anashinda mitandaoni na genge lake ambalo linalipwa kwa ajili ya kuandaa mada. Kuna siku nilimsikia wajukuu zake wanamwambia babu piga mswaki unywe chai, bahati Mbaya alikuwa hajatoka online, sauti ikasikika

Pembeni kuna Msigwa, na yeye ni mtu wa ndani wa kampeni za Lissu, akiwa anasomba fedha kutoka sehemu mbali mbali anampa Lissukwa nia ya kuibomoa chadema.

Mtu anayezungukwa na watu wa aina hii ndio akabidhiwe chama?
Ccm imejaa mapumbavu kama viongoz wao 🪛 🪛 🪛 🪛 🪛 🪛
 
Dkt. Slaa ni mwana CCM, aliwasambaratisha chadema kwa kuwakimbia wakati UKAWA wakikaribia sana kuikamata nchi. Slaa akapelekwa hotelini Rwanda akapewa mabinti wa kihima, baadae ubalozi. Leo Dk Slaa ndio kampeninmeneja wa Lissu na Mtunza fedha.

Anashinda mitandaoni na genge lake ambalo linalipwa kwa ajili ya kuandaa mada. Kuna siku nilimsikia wajukuu zake wanamwambia babu piga mswaki unywe chai, bahati Mbaya alikuwa hajatoka online, sauti ikasikika

Pembeni kuna Msigwa, na yeye ni mtu wa ndani wa kampeni za Lissu, akiwa anasomba fedha kutoka sehemu mbali mbali anampa Lissukwa nia ya kuibomoa chadema.

Mtu anayezungukwa na watu wa aina hii ndio akabidhiwe chama?
Utapata tabu na wahuni walikuambia lowassa ni jambazi mwisho walimpigia deki lami!
 
Dkt. Slaa ni mwana CCM, aliwasambaratisha chadema kwa kuwakimbia wakati UKAWA wakikaribia sana kuikamata nchi. Slaa akapelekwa hotelini Rwanda akapewa mabinti wa kihima, baadae ubalozi. Leo Dk Slaa ndio kampeninmeneja wa Lissu na Mtunza fedha.

Anashinda mitandaoni na genge lake ambalo linalipwa kwa ajili ya kuandaa mada. Kuna siku nilimsikia wajukuu zake wanamwambia babu piga mswaki unywe chai, bahati Mbaya alikuwa hajatoka online, sauti ikasikika

Pembeni kuna Msigwa, na yeye ni mtu wa ndani wa kampeni za Lissu, akiwa anasomba fedha kutoka sehemu mbali mbali anampa Lissukwa nia ya kuibomoa chadema.

Mtu anayezungukwa na watu wa aina hii ndio akabidhiwe chama?
Halafu huyo Tundu Antipass Lissu eti ndio anaitwa mpinzani wa kweli! Chadema will be hit by something that they won't be able to describe if they choose Lissu!
 
Dkt. Slaa ni mwana CCM, aliwasambaratisha chadema kwa kuwakimbia wakati UKAWA wakikaribia sana kuikamata nchi. Slaa akapelekwa hotelini Rwanda akapewa mabinti wa kihima, baadae ubalozi. Leo Dk Slaa ndio kampeninmeneja wa Lissu na Mtunza fedha.

Anashinda mitandaoni na genge lake ambalo linalipwa kwa ajili ya kuandaa mada. Kuna siku nilimsikia wajukuu zake wanamwambia babu piga mswaki unywe chai, bahati Mbaya alikuwa hajatoka online, sauti ikasikika

Pembeni kuna Msigwa, na yeye ni mtu wa ndani wa kampeni za Lissu, akiwa anasomba fedha kutoka sehemu mbali mbali anampa Lissukwa nia ya kuibomoa chadema.

Mtu anayezungukwa na watu wa aina hii ndio akabidhiwe chama?


Tumemshtukia mbowe .Anawaua ,kuwateka au kuwafukuza watu wenye akili kubwa ndani ya Chadema ili abaki na wapumbavu na mazombi wa kumlamba viatu na sehemu za kukaalia kwa kuwapa pesa ili wawe funza wa viroboto wake . Poombavour kbisa.

Utamlinganishaje Dr. Slaa ni Mpumbavour kama Mbowi . Kila mtu mwenye akili ndani ya chadema ni msaliti. ?


Ngoja tumwangalie mwakani atamsimamishwa nani kugombea urais kama atabaki na chama chake .
Na Lisu akishindwa kwa hujuma tutaandamana watu wa kanda zote kumshinikiza akapumzika zake Singida aachane na utapeli wa Mbowe na chama chake .Wakati huo huo watu wenye akili kubwa ndani ya Club House wamejipambanua wazi kuwa hawapo na Mbowe mtu mwenye akili ndogo iliyojaa uuaji ,rushwa ,ufisadi, tamaa ,majivuno, hasira ,visasi ,chuki kwa makabila mengine na utapeli wa kisiasa. Anatembelea nyota za watu na damu za watu .
.
Sasa ni ama mwisho wa uhuni na utapeli wa Mbowe au Mwisho wa Chadema .
Tuone chama kikibaki na Sugu ,bony yai ,Mbowe , Yericko na maamuma wengine wa sheria . Ameuza chama kimekosa mpaka wenyeviti wa serikali za mitaa halafu eti amejijengea chama kwa maridhiano?
 
Tumemshtukia mbowe .Anawaua ,kuwateka au kuwafukuza watu wenye akili kubwa ndani ya Chadema ili abaki na wapumbavu na mazombi pop wa kumlamba viatu na sehemu za kukaalia kwa kuwapa pesa ili wawe funza wa viroboto wake . Poombavour kbisa.

Utamlinganishaje Dr. Slaa ni Mpumbavour kama Mbowi . Kila mtu mwenye akili ndani ya chadema ni msaliti. ?


Ngoja tumwangalie mwakani atamsimamishwa nani kugombea urais kama atabaki na chama chake .
Na Lisu akishindwa kwa hujuma tutaandamana watu wa kanda zote kumshinikiza akapumzika zake Singida aachane na utapeli wa Mbowe na chama chake .Wakati huo huo watu wenye akili kubwa ndani ya Club House wamejipambanua wazi kuwa hawapo na Mbowe mtu mwenye akili ndogo iliyojaa uuaji ,rushwa ,ufisadi, tamaa ,majivuno, hasira ,visasi ,chuki kwa makabila mengine na utapeli wa kisiasa. Anatembelea nyota za watu na damu za watu .
.
Sasa ni ama mwisho wa uhuni na utapeli wa Mbowe au Mwisho wa Chadema .
Tuone chama kikibaki na Sugu ,bony yai ,Mbowe , Yericko na maamuma wengine . Ameuza chama kimekosa mpaka wenyeviti wa serikali za mitaa halafu eti amejijengea chama kwa maridhiano?
Mkuu, ushauri tuliokupa uache pombe uliukataa
 
Dkt. Slaa ni mwana CCM, aliwasambaratisha chadema kwa kuwakimbia wakati UKAWA wakikaribia sana kuikamata nchi. Slaa akapelekwa hotelini Rwanda akapewa mabinti wa kihima, baadae ubalozi. Leo Dk Slaa ndio kampeninmeneja wa Lissu na Mtunza fedha.

Anashinda mitandaoni na genge lake ambalo linalipwa kwa ajili ya kuandaa mada. Kuna siku nilimsikia wajukuu zake wanamwambia babu piga mswaki unywe chai, bahati Mbaya alikuwa hajatoka online, sauti ikasikika

Pembeni kuna Msigwa, na yeye ni mtu wa ndani wa kampeni za Lissu, akiwa anasomba fedha kutoka sehemu mbali mbali anampa Lissukwa nia ya kuibomoa chadema.

Mtu anayezungukwa na watu wa aina hii ndio akabidhiwe chama?

Wanaandaa Cold Coup d’etat ila wamishakwama.
Dr Silaa aliikimbia CDM naona sasa anarudi sijajua alisahau nini na Msigwa hivyo hivyo
 
Tumemshtukia mbowe .Anawaua ,kuwateka au kuwafukuza watu wenye akili kubwa ndani ya Chadema ili abaki na wapumbavu na mazombi wa kumlamba viatu na sehemu za kukaalia kwa kuwapa pesa ili wawe funza wa viroboto wake . Poombavour kbisa.

Utamlinganishaje Dr. Slaa ni Mpumbavour kama Mbowi . Kila mtu mwenye akili ndani ya chadema ni msaliti. ?


Ngoja tumwangalie mwakani atamsimamishwa nani kugombea urais kama atabaki na chama chake .
Na Lisu akishindwa kwa hujuma tutaandamana watu wa kanda zote kumshinikiza akapumzika zake Singida aachane na utapeli wa Mbowe na chama chake .Wakati huo huo watu wenye akili kubwa ndani ya Club House wamejipambanua wazi kuwa hawapo na Mbowe mtu mwenye akili ndogo iliyojaa uuaji ,rushwa ,ufisadi, tamaa ,majivuno, hasira ,visasi ,chuki kwa makabila mengine na utapeli wa kisiasa. Anatembelea nyota za watu na damu za watu .
.
Sasa ni ama mwisho wa uhuni na utapeli wa Mbowe au Mwisho wa Chadema .
Tuone chama kikibaki na Sugu ,bony yai ,Mbowe , Yericko na maamuma wengine wa sheria . Ameuza chama kimekosa mpaka wenyeviti wa serikali za mitaa halafu eti amejijengea chama kwa maridhiano?
Kuua mtu unajua wewe?kuteka mtu anaweza kuteka mbowe halafu akaachiwa tu na serikali? Mambo mengine muwe seriously
 
Lissu aendelee kukesha na wanachama wa ccm (Maria, msigwa na slaa) huko space

Sasa hivi mnawadharau wanaharakati wakati ndio waliokua wanapiga kelele Wakati wa Ugaidi wa Mbowe ili aolewe huruma atoke gerezani .

Baada ya kutoka akakimbila Ikulu kuomba poo.

Mnaridhiana nini kama hujafanya kosa? Alikubali kuwa yeye ni gaidi hivyo waridhiane na CCM waliowazuia wasifanye mikutano ya kijinga kijinga
 
Wanaandaa Cold Coup d’etat ila wamishakwama.
Dr Silaa aliikimbia CDM naona sasa anarudi sijajua alisahau nini na Msigwa hivyo hivyo


Kwa hiyo unaamini kuwa Chadema sio ya watanzania bali ni ya Mbowe na baadhi ya Wachaga wenzake tena wa Machame tu. Mana huko kwengine kwa Wachagga Mbowe wamemchoka mana hana rafiki wa kweli zaidi ya utapeli.
 
Back
Top Bottom