The Only Kilo
JF-Expert Member
- Jul 16, 2010
- 352
- 87
Wadau wa uchumi naomba mnipatie majibu yakinifu kwanini dollar inapanda sana kila hasubuhi.
Pia EXCHANGE RATE inafanyika je na nivigezo gani vinafuatiliwa kuandaa
Swali la nyongeza: Hivi ukinunua kitu online mfano ebay zile bei za bidhaa plus usafirishaji zinakutozwa bei mara mzigo ufikapo custom?? au nikishanunua ndo basi gharama haziongezeki tena?
Nashukuruni wote nikiwakumbusha kujiandikisha kwenye daftari la wapiga kura kisha kupigia chama chako kura; usiwe tu shabiki wa chama flani halafu kesho na kesho kutwa unasema kura zinaibiwa wakati yako haipo hata bure.
Pia EXCHANGE RATE inafanyika je na nivigezo gani vinafuatiliwa kuandaa
Swali la nyongeza: Hivi ukinunua kitu online mfano ebay zile bei za bidhaa plus usafirishaji zinakutozwa bei mara mzigo ufikapo custom?? au nikishanunua ndo basi gharama haziongezeki tena?
Nashukuruni wote nikiwakumbusha kujiandikisha kwenye daftari la wapiga kura kisha kupigia chama chako kura; usiwe tu shabiki wa chama flani halafu kesho na kesho kutwa unasema kura zinaibiwa wakati yako haipo hata bure.