Morogoro kaskazini
JF-Expert Member
- Jul 5, 2020
- 2,392
- 9,187
Hata sisi tuna teknolojia ya kukimbia na mabox ya kura,imeshakua patented mkuu.Iran wanaifanyia haki Teknolojia.
Pongezi kwao!
naongea ukweli mimipale mahaba yanapo zidi unakua kama msemaj wa tehran bwana Kimsboy
Unapo pinga uje na hoja za kumpinga sio ngonjera.pale mahaba yanapo zidi unakua kama msemaj wa tehran bwana Kimsboy
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hata sisi tuna teknolojia ya kukimbia na mabox ya kura,imeshakua patented mkuu.
Haaaaaa daah nakuona barozi wa mayaudi Tz uko kwenye ubora wako.Kwasababu wanazitengeneza huku wakiwa na njaa. Kwasababu sasa hivi kula milo mi3 Iran ni anasa
Nimekuwa nikijiuliza swali kwa muda. Drone za Iran zimefanikiwa kuingia saudia bila kugundulika kwenye rada kila siku zinapita katikati ya aircraft carries za Marekani na kupiga picha muhimu kisha kuondoka bila kugundulika yaan mimi nakosaga majibu kabisa
"Mkuu una uhakika gani na hili hadi useme kila siku".Nimekuwa nikijiuliza swali kwa muda. Drone za Iran zimefanikiwa kuingia saudia bila kugundulika kwenye rada kila siku zinapita katikati ya aircraft carries za Marekani na kupiga picha muhimu kisha kuondoka bila kugundulika yaan mimi nakosaga majibu kabisa
Imejulikana kuwa huu ni uongo.Nimekuwa nikijiuliza swali kwa muda. Drone za Iran zimefanikiwa kuingia saudia bila kugundulika kwenye rada kila siku zinapita katikati ya aircraft carries za Marekani na kupiga picha muhimu kisha kuondoka bila kugundulika yaan mimi nakosaga majibu kabisa
Iran wanamwabudu sana Mwenyezi Mungu hivyo drones zao sio rahisi zionekane kwenye rada.Nimekuwa nikijiuliza swali kwa muda. Drone za Iran zimefanikiwa kuingia saudia bila kugundulika kwenye rada kila siku zinapita katikati ya aircraft carries za Marekani na kupiga picha muhimu kisha kuondoka bila kugundulika yaan mimi nakosaga majibu kabisa