Jaji Mfawidhi
JF-Expert Member
- Feb 20, 2016
- 15,835
- 23,776
B12 alikomea form six mkuuTz hatuna redio presenter wenye uelewa na waliosomea kazi hizo. Tunayo mapoyoyo tu. B12 na Adam baada ya kufeli form 4 wakapata shavu clouds FM. B12 aliaanza arusha. Huyo dulla ndiyo kimeo sana tu.
Bado tuna safari ndefu sana. Kinachowauma ni wao kuendelea kuwa maskini huku Diamond akichanua.
Huwa nashangaa sana mwanaume anapotumia wivu kumuharibia MTU. Media na wadau wa muziki hawakujiandaa kuwa na msanii Mkubwa..wanataka wanyenyekewe kila siku..yaani diamond akienda MTV kuperporm na wenyewe wapewe tickets ndiyo wafurahi.
Yule Ruge anajionaga akili kubwa but hamna kitu..ana wivu wa kitoto sana.
Hao ni mashapenga tu,SINA UHAKIKA KAMA WCB WANA BIFU KWELI NA HIVI VITUO AU NI MITANDAO TU INAZUSHA SABABU MBONA KINA SOUDY BROWN WANAENDAGA OFISI ZA WCB BILA TATIZO? NA MPAKA LEO SIJAWAHI KUSIKIA HATA UPANDE MMOJA UKIKIRI KWAMBA WANA BIFU.ILA WIKI ILIYOPITA KWENYE KIPINDI CHA SHILAWADU SOUDY BROWN ALISEMA HAWANA BIFU NA MTU NA WALA HAWANA TEAM NA NDIO SABABU KWENYE HARUSI YA SHILOLE WALIMFUATA HARMONIZE NA DIAMOND KUWAHOJI.
East Africa radio wamegoma kucheza nyimbo za WCB lakini Leo hii nimewasikia wakipeperusha tangazo la Diamond Platnumz la Diamond Karanga huku wakilipa promo kubwa sana..
Pia na Clouds Fm radio wanalipeperusha sana tangazo hilo.
Watangazaji wa radio kama akina Dullah ndio wanarudisha muziki nyuma kwani wanapenda kuabudiwa pia na akina Adamu Mchomvu na B-Dozen.
We Dullah wa East Africa radio punguza ushamba maana ushazeeka.
Ukiambiwa usibitishe iko unachokisema itawezekana....?Kwanza ujue karanga c zake na zinalipa bill ya kuwa promoted...kusaga mwenye clouds ndo mwenye karanga hizo sema hapo kuna agreement kat yake na mond... Last kusaga tajiri sana sema atak tujue
Mbona POVU mkuu tukuletee nguo nn ufulienaona mapopompo mnafarijiana.....
clouds itabaki kua radio kubwa tz
eatv itabakia kua tv kubwa tz
Tafteni hela sio kilasiku mnamsifia mwanaume mwenzenu.... daily mondi anaonewa sjui wivu pumbavu!!!
kama yeye ni mkubwa kuliko media bas kausheni.... kelele za nn?
Mkuu upo dunia gani?We Dullah wa East Africa radio punguza ushamba maana ushazeeka.
akili zako ndipo sizipo komea!!Mbona POVU mkuu tukuletee nguo nn ufulie
Izi taarifa huwa watu wanatoa WAP??Kwanza ujue karanga c zake na zinalipa bill ya kuwa promoted...kusaga mwenye clouds ndo mwenye karanga hizo sema hapo kuna agreement kat yake na mond... Last kusaga tajiri sana sema atak tujue
Karanga ni za smart hata kwenye pakiti wameandika, sasa kama hujui smart ni ya nani hilo sio swala languWatu mnajua kupotosha, mara karanga si zake wakiulizwa za nani wengine wanasema za Kusaga wengine wanasema za wahindi wale wa Smart Duh yani hakuna mwenye vivid evidence ya kusema hizi ni za Fulani
Wewe pia unaonekana kuwa na wivu wa kitoto kwa Ruge,Tz hatuna redio presenter wenye uelewa na waliosomea kazi hizo. Tunayo mapoyoyo tu. B12 na Adam baada ya kufeli form 4 wakapata shavu clouds FM. B12 aliaanza arusha. Huyo dulla ndiyo kimeo sana tu.
Bado tuna safari ndefu sana. Kinachowauma ni wao kuendelea kuwa maskini huku Diamond akichanua.
Huwa nashangaa sana mwanaume anapotumia wivu kumuharibia MTU. Media na wadau wa muziki hawakujiandaa kuwa na msanii Mkubwa..wanataka wanyenyekewe kila siku..yaani diamond akienda MTV kuperporm na wenyewe wapewe tickets ndiyo wafurahi.
Yule Ruge anajionaga akili kubwa but hamna kitu..ana wivu wa kitoto sana.
Ukiwa mfatiliaji sana na kuwa karibu na watu wenye urafiki na undugu wa watu hao/mastaaIzi taarifa huwa watu wanatoa WAP??
Au mimi ndo nipo nyuma saan nini?
Inawezekana we ndo ufatiliiUkiambiwa usibitishe iko unachokisema itawezekana....?
Mleta uzi huenda matangazo hua yanafanywa bure radioni,tumsaidieni kumwelewesha,ila kua jf nina uhakika hatatoka bure,atajifunza mengi,jf ni kisima atiTangazo sio bure mate
tangazo linalipiwa na ukilipia lazima utangaze
yeah yupo sahihiUkiambiwa usibitishe iko unachokisema itawezekana....?
Misukule ya da'Mange huwaga haina ushahidi.Ukiambiwa usibitishe iko unachokisema itawezekana....?