Sisi magonjwa mengi yanatupita juu kwa juu, hatujawahi kuwa na zika, ebola na huyu corona virus atakaemtaja mgojwa hata kama yupo cha moto atakipata. Mnataka watalii waache kwenda Rubondo!
Basi huijui USA Kama waliweza kumvamia SADAM na kuiharibu nchi yake kwa kusema kuna silaha za maangamizi ambazo hazipo kwa nini ashindwe kwetu.
Fuatilia ni nchi ngapi ambazo makampuni yao yalibanwa kwa unyonyaji na nchi hizo zikatengenezewa Zengwe.
Kama kuna mtu anahisi anapendwa na USA lazima huyo mtu uelewa wake wa mambo ni mdogo Sana au amekua brainwashed kupitiliza.