The redemeer
JF-Expert Member
- Jan 28, 2025
- 1,497
- 2,681
Niipi siri ya kutumia Energy drinks na Paracetamol, Kwa lengo la ku boost nguvu za kiume.....??
↳Nimekuwa nikifuatilia kwa ukaribu sana hili swala la vijana kutumia Energy drinks + Paracetamol, Nimekuja na Majibu kamili.....
↳Yale maswali yako yote, Majibu yake yapo katika elimu hii nimekuandalia.....
↳Kabla sijakufichulia siri hii wacha nikupitishe kidogo kwenye swala la nguvu za kiume...
Hivi ni vyanzo vikuu vya upungufu upungufu wa nguvu za kiume.
✓Upungufu wa homoni ya testosterone.
✓Kulegea kwa misuli ya uume.
✓Kuziba kwa mishipa damu.
✓ Saikolojia yako.
↳Vyote vinatibika kwa kula lishe bora na Mazoezi na Ushauri wa kisaikolojia nasio kutumia (Energy drinks + Paracetamol) au madawa ya nguvu za kiume.
IPO HIVI.....
↳Energy drink na Panadol sio dawa ya kuongeza Nguvu za kiume,Viagra na Mkongo sio dawa ya kumridhisha mwanamke.
↳Matumizi ya vitu hivi hufanya mzunguko wa damu uwe mkubwa,presha inaongezeka athari zake ni Matatizo katika moyo na hata Udhaifu na kupoteza hata ule uwezo modogo ulio nao (Sex performanc)
↳Kama sio wewe basi fahamu ya kwamba kuna watu huko walipo sasa hivi wanajutia kutumia dawa za Booster, kuongeza uume au kuongeza nguvu za kiume.
USHAURI WA BURE...
↳Epuka Madawa ya nguvu za kiume na virutubisho vya kusindikwa, sikuhizi vinauzwa sana mitaani...
↳Tafuta Chanzo cha tatizo kwani nguvu za kiume sio ugonjwa na zipo ndani yako, Muda mwingine niswala la kisaikolojia Tu...Huna haja ya kumeza Tembe ya aina yeyote ile....🫵
↳Nimekuwa nikifuatilia kwa ukaribu sana hili swala la vijana kutumia Energy drinks + Paracetamol, Nimekuja na Majibu kamili.....
↳Yale maswali yako yote, Majibu yake yapo katika elimu hii nimekuandalia.....
↳Kabla sijakufichulia siri hii wacha nikupitishe kidogo kwenye swala la nguvu za kiume...
Hivi ni vyanzo vikuu vya upungufu upungufu wa nguvu za kiume.
✓Upungufu wa homoni ya testosterone.
✓Kulegea kwa misuli ya uume.
✓Kuziba kwa mishipa damu.
✓ Saikolojia yako.
↳Vyote vinatibika kwa kula lishe bora na Mazoezi na Ushauri wa kisaikolojia nasio kutumia (Energy drinks + Paracetamol) au madawa ya nguvu za kiume.
IPO HIVI.....
↳Energy drink na Panadol sio dawa ya kuongeza Nguvu za kiume,Viagra na Mkongo sio dawa ya kumridhisha mwanamke.
↳Matumizi ya vitu hivi hufanya mzunguko wa damu uwe mkubwa,presha inaongezeka athari zake ni Matatizo katika moyo na hata Udhaifu na kupoteza hata ule uwezo modogo ulio nao (Sex performanc)
↳Kama sio wewe basi fahamu ya kwamba kuna watu huko walipo sasa hivi wanajutia kutumia dawa za Booster, kuongeza uume au kuongeza nguvu za kiume.
USHAURI WA BURE...
↳Epuka Madawa ya nguvu za kiume na virutubisho vya kusindikwa, sikuhizi vinauzwa sana mitaani...
↳Tafuta Chanzo cha tatizo kwani nguvu za kiume sio ugonjwa na zipo ndani yako, Muda mwingine niswala la kisaikolojia Tu...Huna haja ya kumeza Tembe ya aina yeyote ile....🫵