Focus120
JF-Expert Member
- Nov 10, 2014
- 1,089
- 793
Habari JF
Kichwa cha Habari kisomeke Kwanini Engine Placement ya magari mengi IPO mbele?
Naileta hii mada tujadili kwanini injini nyingi za magari yetu hususani za kijapani zipo mbele? Kuanzia Sedans.. Saloons, Hatchbacks na SUV's
Je ni utaratibu uliokubalika "ki injinia" iwe hivyo au kuna sababu maalumu.
Naelewa yapo baadhi ya magari "Super cars" zenye engine kwa nyuma mfano: Ferrari, Lamborghini etc.
Wenye uzoefu. Tupeane elimu kidogo.
Nawasilisha.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kichwa cha Habari kisomeke Kwanini Engine Placement ya magari mengi IPO mbele?
Naileta hii mada tujadili kwanini injini nyingi za magari yetu hususani za kijapani zipo mbele? Kuanzia Sedans.. Saloons, Hatchbacks na SUV's
Je ni utaratibu uliokubalika "ki injinia" iwe hivyo au kuna sababu maalumu.
Naelewa yapo baadhi ya magari "Super cars" zenye engine kwa nyuma mfano: Ferrari, Lamborghini etc.
Wenye uzoefu. Tupeane elimu kidogo.
Nawasilisha.
Sent using Jamii Forums mobile app