Chief Sanze
JF-Expert Member
- Jun 13, 2014
- 1,668
- 3,736
Hapo jibu ni moja tu "poor leadership"Ok! Sawa mkuu! Sijui tuingie kwenye ubishi?
Mbona Israel ni jangwa lakini ni moja ya nchi zinazojiweza? Sijui kama nayo ni super power!
Mbona Misri ina kaukame lakini ipo vizuri kuizidi Ethiopia japo nayo siyo super power?
Mkuu, mbona nchi za Kiarabu ni jangwa lakini ni tajiri? Ethiopia Haina mafuta kama nchi za Kiarabu, lakini naamini ina rasilimali mbadala ambazo zingeweza kuifanya super power!
I concur with you Sir, absolutely!Hapo jibu ni moja tu "poor leadership"
Nchi ikiwa Afrika tu ni tatizo ule uafricanization unaendelea hadi kwenye mambo ya kipuuzi,I concur with you Sir, absolutely!
Swali zuri hili. Umaskini wa Africa haukusababishwa na wakoloni kama baadhi ya waafrika wanavyodai. In fact tulipaswa kuwaacha wakoloni watawale hadi 1990's au hata mida hii!Mwalimu wa Historia alitumbua kuwa chanzo kimojawapo cha udumavu wa bara la Afrika kimaendeleo ni ukoloni wa Kimagharibi!
Lakini pia alitufundisha kuwa Ethiopia haikutawaliwa na Wazungu. Labda ndiyo maana Waafrika walipachagua pawe makao makuu ya AU?
Lakini nilisahau kumwuliza kuwa ikiwa Ethiopia haikutawaliwa na wageni, kwa nini siyo super power alau barani Afrika?
Kuna anayeweza kunisaidia jibu?
Point ni zile zile sema wewe umeziweka kwa kiswahiliSwali zuri hili. Umaskini wa Africa haukusababishwa na wakoloni kama baadhi ya waafrika wanavyodai. In fact tulipaswa kuwaacha wakoloni watawale hadi 1990's au hata mida hii!
Ukiangalia Namibia na South Africa zilizopata uhuru 1990 na 1994 zina maendeleo kuliko zile nchi zilizopata uhuru 1960's.
Kumbe kuna sababu za msingi kwanini Ethiopia na mataifa mengine ya Afrika hayajaweza kuwa na uchumi mzuri hata baada ya miaka mingi ya kujitawala:
1. Uongozi mbovu
2. Vita ya wenyewe kwa wenyewe
3. Siasa chafu
4. Ujinga
5. Uvivu
6. Imani potofu
mfano Moja, kama tatizo la umeme trc ni kuagiza engine za diesel hapo ndiyo ujue mbele Kuna nani.Kuendelea au kutoendelea kwa mwafrika hakuhusiani na mzungu. Ni viongozi wa afrika tu wanatumiaka hicho kichaka kukwepa uwajibikaji.
Kutoendelea kwa Afrika sababu kuu ni Rushwa na kukosa akili kwa viongozi na wananchi wa Afrika full stop
Na hazijabadilika😀😀😀Point ni zile zile tu
Poor infrastructure
Poor capital
Poor gvt support
Poor labor force
Poor technology
Ongezea,,,,
Lack of educationPoint ni zile zile tu
Poor infrastructure
Poor capital
Poor gvt support
Poor labor force
Poor technology
Ongezea,,,,
ChoiceVariable atakwambia ni Tanzania ya mama,Nchi gani Africa ni superpower?