Kwanini Europa Ligi nusu fainali ina mechi nne badala 2?

Kwa busara na akili nyingi ulizonazo mkuu bila shaka Mungu atakujalia kheri kila siku ya maisha yako. Ahsante kwa majibu haya,japo mimi sio mleta mada,nilikua pia sijui tofauti kati ya hizo ligi mbili. Tulihitaji tu mwenye kujua asaidie kututoa ujinga, badala yake "much know" wakaanza kuleta shombo kwa mtoa mada. Big up.
 
Also I do appreciate his comment.
 
Barikiwa sana Mkuu.
 
Na kama wewe ni shabiki wa man u basi hiyo conference league utaijua saana .
Maana ndo ya man yuu hii.😁😁
 
Naona Mourinho anataka kujiwekea rekodi ya kocha wa kunyakua kakombe cha walioshindwa ubabe wa ulaya

NA juzi alimwaga chozi bana kwa furaha πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…