Kwanini familia nyingi za kibongo zinaanza upya ktk utafutaji wa mali?

Umasikini
Wazazi wetu wengi ni masikini na wanaishi maisha ya kujikimu mkono uende kinywani hivyo wanakua hawana chochote cha kutupa tukiendeleze zaidi ya kijumba kidogo na shamba Dogo la kilimo cha Jembe la mkono


Kukosa maarifa ya kuendeleza mali
Familia zetu nyingi hata kama mzazi kaacha Biashara, tunaoachiwa huwa hatuna maarifa ya kutosha ya kuendeleza na hivyo tunaishia β€œtugawane kila mtu age na chake”.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…