Black Sniper
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 32,406
- 55,148
Kuna wakimbizi wapo nchi za ulaya kwa miaka zaidi ya 40 na kuna baadhi wanataka kurudi kisa utawala wa Assad umeishaHili ndio jibu, upokee wakimbizi wa nini na nchi imekombolewa raia wanashangweka nchi nzima?
Kimoyo moyo Kuna wakimbizi hapo wanawalaani waasi kwa kumtimua Assad maana deal la kuingia Ulaya limeota mbawa.
Ila kuna tatizo moja pia je kutakuwa na amani huko Syria?
Kuna vikundi vilivyokuwa vinampinga Assad
Tusubiri tuone nini kitatokea
Austrians wameishakurupuka na kusema wanawarudisha wakimbizi wote kutoka Syria
Ingawa wachambuzi wa mambo ya siasa hapa nilipo wamepinga vikali na kusema it's too early