Getang'wan
JF-Expert Member
- Apr 9, 2015
- 3,076
- 3,416
Kwasababu siyo gaidiAngalieni video hapo chini?
Kwanini Mbowe hafungwi pingu?
Kulingana na maelezo ya Polisi, Mbowe ndio kinara, sponsor, na mastermind, wa tuhuma zilizoko mahakamani.
Polisi wanasema Mbowe ndiye aliyewa-recruit washtakiwa wenzake watatu wakafanye waliyotaka kufanya.
Bila Mbowe kuwa na malengo mabaya, hawa washtakiwa watatu wasingekuwa mahakamani.
Miimi ni mshabiki wa Chadema, lakini ktk hili la kuwatia pingu kina Adamoo na kumuacha Mbowe, ninapinga.
Ni ama wote watiwe pingu, au wote wasitiwe pingu.
Wao ni makomandoHata wakina adamoo hawajathibitika kuwa ni magaidi.
Sasa kwanini wao watiwe pingu, huku anayetuhumiwa kuwatuma na kuwafadhili hatiwi pingu?
Hata wewe mkongwe Mamndenyi umeshindwa kumuelewa Jokakuu kweki?Akitiwa pingu utafaidi nini, wachawi mpo kila mahali
Kimantiki wala hatupingani wala hatutofautiani...Siyo kila mtuhumiwa hufungwa pingu. Mtuhumiwa hufungwa pingu kwa sababu kadhaa zikiwemo za uimara wa mtuhumiwa kinguvu, uthubutu wa mtuhumiwa kutishia kutoroka, ukorofi wa mtuhumiwa, kiwango cha kuaminika cha mtuhumiwa mbele ya jamii, hadhi ya mtuhumiwa mbele ya jamii, maagizo toka juu, n.k
hapa ndipo utaona maajabu ya nchi yetu, UGAIDI wa sh laki sita - ifike hapala tuwe serious watanzania, hii ni aibu kwa nchi yetu tunajipaka matope wenyewe.Angalieni video hapo chini?
Kwanini Mbowe hafungwi pingu?
Kulingana na maelezo ya Polisi, Mbowe ndio kinara, sponsor, na mastermind, wa tuhuma zilizoko mahakamani.
Polisi wanasema Mbowe ndiye aliyewa-recruit washtakiwa wenzake watatu wakafanye waliyotaka kufanya.
Bila Mbowe kuwa na malengo mabaya, hawa washtakiwa watatu wasingekuwa mahakamani.
Miimi ni mshabiki wa Chadema, lakini ktk hili la kuwatia pingu kina Adamoo na kumuacha Mbowe, ninapinga.
Ni ama wote watiwe pingu, au wote wasitiwe pingu.
Mara unajiita mwanachama wa CHADEMA mara mshabiki tena,Ama watuhumiwa wote wafungwe pingu au watuhumiwa wote wasifungwe pingu.
pasiwepo na ubaguzi miongoni mwa watuhumiwa.
..mimi ni shabiki wa Chadema lakini jambo hili linanichukiza.
Akifungwa hizo pingu wewe inakuongezea nini labda! na asipofungwa hizo pingu wewe unapungukiwa wapi kumbe??Angalieni video hapo chini?
Kwanini Mbowe hafungwi pingu?
Kulingana na maelezo ya Polisi, Mbowe ndio kinara, sponsor, na mastermind, wa tuhuma zilizoko mahakamani.
Polisi wanasema Mbowe ndiye aliyewa-recruit washtakiwa wenzake watatu wakafanye waliyotaka kufanya.
Bila Mbowe kuwa na malengo mabaya, hawa washtakiwa watatu wasingekuwa mahakamani.
Miimi ni mshabiki wa Chadema, lakini ktk hili la kuwatia pingu kina Adamoo na kumuacha Mbowe, ninapinga.
Ni ama wote watiwe pingu, au wote wasitiwe pingu.
Kwani mpaka ujitambulishe kwa itikadi yako ya Chama? kwani hapa JF ni mahali pa kujitambulisha itikadi zetu za chama? Wewe toa hoja basi, hayo mengine ya Chama baki nayo moyoni mwako.
Wale ni makomandoo .....mafunzo yao hali juu lazima kuwadhibiti....buku 7 buanaHata wakina adamoo hawajathibitika kuwa ni magaidi.
Sasa kwanini wao watiwe pingu, huku anayetuhumiwa kuwatuma na kuwafadhili hatiwi pingu?
Halafu tusiharibiane, baba yako ujue ananiita bebiiHata wewe mkongwe Mamndenyi umeshindwa kumuelewa Jokakuu kweki?
Akitiwa pingu utafaidi nini, wachawi mpo kila mahali
Mbowe sio gaidi aachiwe!Angalieni video hapo chini?
Kwanini Mbowe hafungwi pingu?
Kulingana na maelezo ya Polisi, Mbowe ndio kinara, sponsor, na mastermind, wa tuhuma zilizoko mahakamani.
Polisi wanasema Mbowe ndiye aliyewa-recruit washtakiwa wenzake watatu wakafanye waliyotaka kufanya.
Bila Mbowe kuwa na malengo mabaya, hawa washtakiwa watatu wasingekuwa mahakamani.
Miimi ni mshabiki wa Chadema, lakini ktk hili la kuwatia pingu kina Adamoo na kumuacha Mbowe, ninapinga.
Ni ama wote watiwe pingu, au wote wasitiwe pingu.
Kesi ya kubumba hiyoAngalieni video hapo chini?
Kwanini Mbowe hafungwi pingu?
Kulingana na maelezo ya Polisi, Mbowe ndio kinara, sponsor, na mastermind, wa tuhuma zilizoko mahakamani.
Polisi wanasema Mbowe ndiye aliyewa-recruit washtakiwa wenzake watatu wakafanye waliyotaka kufanya.
Bila Mbowe kuwa na malengo mabaya, hawa washtakiwa watatu wasingekuwa mahakamani.
Miimi ni mshabiki wa Chadema, lakini ktk hili la kuwatia pingu kina Adamoo na kumuacha Mbowe, ninapinga.
Ni ama wote watiwe pingu, au wote wasitiwe pingu.
Madhumuni ya PINGU ni kumfanya mhalifu ama asitoroke au asilete madhara kwa askari. Je katika hayo mawili, Mbowe anaweza akafanya lipi?Angalieni video hapo chini?
Kwanini Mbowe hafungwi pingu?
Kulingana na maelezo ya Polisi, Mbowe ndio kinara, sponsor, na mastermind, wa tuhuma zilizoko mahakamani.
Polisi wanasema Mbowe ndiye aliyewa-recruit washtakiwa wenzake watatu wakafanye waliyotaka kufanya.
Bila Mbowe kuwa na malengo mabaya, hawa washtakiwa watatu wasingekuwa mahakamani.
Miimi ni mshabiki wa Chadema, lakini ktk hili la kuwatia pingu kina Adamoo na kumuacha Mbowe, ninapinga.
Ni ama wote watiwe pingu, au wote wasitiwe pingu.
Shida ni pale unapowasilisha hoja ya Chama kama excuse fulani vile. Mfano unasema, japo mimi ni Chadema lakini hapa chadema imekosea. kwanini usiseme tu hapa Chadema au CCM imekosea bila kutanguliza hiyo excuse..sio jinai kuwa shabiki wa chama fulani.
..kwa hiyo, una uhuru wa kujitambulisha kuwa unashabikia chama fulani.
..pia unayo haki ya kutojitambulisha kuwa unaunga mkono chama cha siasa.
..kitu kibaya ni kubaguana au kudhulumiana kutokana na itikadi za vyama.
Madhumuni ya PINGU ni kumfanya mhalifu ama asitoroke au asilete madhara kwa askari. Je katika hayo mawili, Mbowe anaweza akafanya lipi?
Sawa mkuu.Mtu mwenye akili timamu hawezi kuuliza hayo maswali kwani majibu yapo waziwazi unayapata tu kwa kuangalia picha. Mnafikili hao askali magereza ni vilaza kama nyie??