RWANDES
JF-Expert Member
- Jun 12, 2019
- 1,788
- 4,401
Chama cha demokrasia na maendeleo chadema kilivuka salaama mwaka 2019 na hii nikwasababu mbowe hakuwa na mpinzani wake ! Hayo tumeyaona kipindi cha CHACHA WANGWE, NA ZITTO ZUBERI KABWE , tabia hizi za UASAAD ndiyo unakirudisha nyuma chama.
Mwaka huu sasa amekutana na wajanja wameshamshitukia kila sehemu ni yeye mtoto wa singida tundu lisu
Mwaka huu sasa amekutana na wajanja wameshamshitukia kila sehemu ni yeye mtoto wa singida tundu lisu