Pre GE2025 Kwanini Freeman Mbowe inapotokea ichaguzi wa ndani ndiyo mwanzilishi wa migogoro?

Pre GE2025 Kwanini Freeman Mbowe inapotokea ichaguzi wa ndani ndiyo mwanzilishi wa migogoro?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

RWANDES

JF-Expert Member
Joined
Jun 12, 2019
Posts
1,788
Reaction score
4,401
Chama cha demokrasia na maendeleo chadema kilivuka salaama mwaka 2019 na hii nikwasababu mbowe hakuwa na mpinzani wake ! Hayo tumeyaona kipindi cha CHACHA WANGWE, NA ZITTO ZUBERI KABWE , tabia hizi za UASAAD ndiyo unakirudisha nyuma chama.

Mwaka huu sasa amekutana na wajanja wameshamshitukia kila sehemu ni yeye mtoto wa singida tundu lisu
 
Chama cha demokrasia na maendeleo chadema kilivuka salaama mwaka 2019 na hii nikwasababu mbowe hakuwa na mpinzani wake ! Hayo tumeyaona kipindi cha CHACHA WANGWE, NA ZITTO ZUBERI KABWE , tabia hizi za UASAAD ndiyo unakirudisha nyuma chama ,
Mwaka huu sasa amekutana na wajanja wameshamshitukia kila sehemu ni yeye mtoto wa singida tundu lisu

Kugombea ndiyo kuanzisha migogoro au yule anayeongea hata yasiyo kuwa na ushahidi wowote
 
Back
Top Bottom