Madimba jr
JF-Expert Member
- Aug 12, 2017
- 1,577
- 3,146
Public sympathy haitawafikisha popote apige kazBeat katengeneza slimsal ambaye nayeye ni underrated rapper hapa tz.
Jamaa katengenenza mabeat mazuri s2kizzy anamuibia na switch records
Beat alizoibiwa ni kama
1.Swagiree weusi
2.vmoney mpaka pumzi ya mwisho
Huyu ni mtangazaji wa EA pia ni raper wa kike, ila ninaona kama watu hawampi attention anayostahili.
Personally namuona mkali tu na ukitaja maraper wa kike Tanzania ninaona naye anafaa kuwa walau sehemu flani.
WHY is she underated? Au kwakuwa ni radio presenter kama Mchomvu ambaye pia nyimbo zake huwa hazisambai? (Japo huwa Mchomvu hata mimi simkubali, naungana na marehemu Ruge kusema hajui kuimba)
Umesoma mpaka level gani? Umeambiwa mimi ni promoter au kampuni ya matangazo.. Mimi nimeandika chochote na wala sijaandika vitu official hapa ninaongea chochote kwa style yoyote. Yes Mchomvu kaingia kwasababu naye ni presenter anayeimba ambaye mziki wake haujawahi kufanya vizuri.Ushafeli
Mchomvu anaingiaje hapa??
Hivi mmesoma mpaka level gani ya chekechea?
Title is obvious you want people to know her, evaluate her and promote her
Mara ghafla mchonvu huyu!!!!!!!!!!! Why?
Umesoma mpaka level gani? Umeambiwa mimi ni promoter au kampuni ya matangazo.. Mimi nimeandika chochote na wala sijaandika vitu official hapa ninaongea chochote kwa style yoyote. Yes Mchomvu kaingia kwasababu naye ni presenter anayeimba ambaye mziki wake haujawahi kufanya vizuri.
Tusipangiane ya kuandika.
Wewe ni mtazamo wako ila nimeandika nilichotaka kuandika.Mbona rahisi tu kukaa kimya? Au kusema umekosea?
Badili title ionekane sawa na content
Umechemka
Wewe ni mtazamo wako ila nimeandika nilichotaka kuandika.
Siyo kazi yangu kukuelewesha, jukumu langu lilikuwa kuandika kuelewa au kutoelewa kwako hakunihusu.
Uwe na siku njema
Pamoja Mchomvu
Hata mimi najua ila nakuzingua tu. Mchomvu ni presenter ninaye mkubari sana uwa namuona yuko real sana na udwanzi wake.Haya bana, at last nimecheka
Nafaka
Binafsi sio huyo tu
Kuna talents kibao mtaani ambazo sijui why hazisikiki
Nitajie rapper anayepiga kaz zaid ya slimsal yan anapriduce na kuchanika ile mbaya I'll wait...Public sympathy haitawafikisha popote apige kaz
Kiukweli Frida uwezo bado nimdogo/ uwezi kumcompare na rapper km chemical au Tana
Sijasema anabaniwa, ila nilitaka kujua sababu ya kuchukuliwa poa sana maana kuna wasanii mimi naona wa kawaida lakini wanachukuliwa kwa ukubwa sanaI think hapo alipo anastahili..bado sana,uwezo mdogo
Na pia ngoma zake zinapigwa sana Clouds,so ukisema anabaniwa sio kweli
Kwahyo unataka utuaminishe chemical ni mkali kuliko rosa ree?Sasa kama nimkali / Mbona hit song/ marapper wa Arusha wnaforce sana .hila uwezo mdogo ....pamoja na Sam misago/ Adamu mchomvu + Rosa reee nk
Hahah dah yani wewe utakua ndo chemical kabisawewe unazingua ufahamu chochote kuhusu mambo ya entertainment.
Waambie ao maboya wasikiliza taarabuhuyo demu ni balaa ana rap kama nik minaj
Sawa kamsikilize mzee yusufu sasaTalentless....
IndirectlyAlishakukatalia kufanya naye kazi?