Kwanini Frida Amani yuko underated?

Kwanini Frida Amani yuko underated?

For sure she overrated.

Mimi napenda utangazaji wake tu but muziki hawezi afanye kazi yake ya utangazaji atafika mbali zaidi
Yuko OVERRATED sana na sio UNDERRATED hata hapo alipo ameforce sana,analazimisha muziki ila rap haimpendi,ana mistari ya kitoto,flow mbovu ile ya miaka 1997-2000.Ajipange sawa sawa!!!

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyu ni mtangazaji wa EA pia ni raper wa kike, ila ninaona kama watu hawampi attention anayostahili.

Personally namuona mkali tu na ukitaja maraper wa kike Tanzania ninaona naye anafaa kuwa walau sehemu flani.

WHY is she underated? Au kwakuwa ni radio presenter kama Mchomvu ambaye pia nyimbo zake huwa hazisambai? (Japo huwa Mchomvu hata mimi simkubali, naungana na marehemu Ruge kusema hajui kuimba)


Anaweza naipenda ngoma yake ya niwe nawe
 
Huyo dogo n too Gangstar siku moja nlimuona K.koo mtaa wa Swahili pale Yan utazani mwanaume

One love
 
Back
Top Bottom