Hilo neno entertainment umejifunza leo nini?? Naona kila post unalipachikaSawa karibu kwenye entertainment tukutoe tongotongo
Sent using Tume huru
Kivipi...elezea mkuuIndirectly
Kwa watu ambao hatujapata majina makubwa ya kuwaaminisha kazi huwa tunakuwa underrated na hao hao wasanii ambao tunaazimia kufanya nao kazi ili tuaminike na industry.Kivipi...elezea mkuu
Wewe ni msanii?Kwa watu ambao hatujapata majina makubwa ya kuwaaminisha kazi huwa tunakuwa underrated na hao hao wasanii ambao tunaazimia kufanya nao kazi ili tuaminike na industry.
Yuko OVERRATED sana na sio UNDERRATED hata hapo alipo ameforce sana,analazimisha muziki ila rap haimpendi,ana mistari ya kitoto,flow mbovu ile ya miaka 1997-2000.Ajipange sawa sawa!!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe unaona female rapper gan anajua zaid yake....nasubiriFor sure she overrated.
Mimi napenda utangazaji wake tu but muziki hawezi afanye kazi yake ya utangazaji atafika mbali zaidi
Sent using Jamii Forums mobile app
Yaweza kuwa frida ni dem wangu nawewe chemical ni bwana wakoAu wewe no Frida nn
Sent using Tume huru
Anaweza naipenda ngoma yake ya niwe naweHuyu ni mtangazaji wa EA pia ni raper wa kike, ila ninaona kama watu hawampi attention anayostahili.
Personally namuona mkali tu na ukitaja maraper wa kike Tanzania ninaona naye anafaa kuwa walau sehemu flani.
WHY is she underated? Au kwakuwa ni radio presenter kama Mchomvu ambaye pia nyimbo zake huwa hazisambai? (Japo huwa Mchomvu hata mimi simkubali, naungana na marehemu Ruge kusema hajui kuimba)