Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inasikitisha sana kwa kweliBongo Nyoso aisee!! Kweli mcheza kwao hutunzwa!
Ili Tony ashinde ushindi wa mchongo[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Huyu kijana alidundwa nchini Tanzania , sasa nashangaa tena eti Re match inapigwa tena Tanzania ! kwani mpinzani wake hana nchi ?
Au ni lazima tuvunje mayai njia panda ili tushinde ?
Jifunzeni kuwaandaa mabondia wenu kucheza ugenini , kila siku siyo jumapili , unaweza kudundwa hata mara kadhaa kwenu , Acholile Kachora .
View attachment 2131363
Ila Nitamwambia Huyo Naibu Katibu Mkuu Said Yakubu Huo Ujinga Wauache KabisaBongo Nyoso aisee!! Kweli mcheza kwao hutunzwa!
Aiseeee !!!Ikiisha salama hii round ya mwisho, ili kuondoa aibu kwa Taifa Tonny atapewa ushindi wa point
Aibu tupuSitaangalia Tena Ngumi kuanzia Sasa zinazoandaliwa na Azam. Ujinga Huu Kabisa [emoji20][emoji20]
Sent using Jamii Forums mobile app
Mi nilishaacha zamani nilipe kingiliio kikubwa halafu mshindi alishaandaliwa Leo nimeamua kutokuangalia kabisa japo Tony namkubali sana.Ila Nitamwambia Huyo Naibu Katibu Mkuu Said Yakubu Huo Ujinga Wauache Kabisa
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu unazungumziaje Hili Pambano. Ebu Opine KidogoIkiisha salama hii round ya mwisho, ili kuondoa aibu kwa Taifa Tonny atapewa ushindi wa point
Nilidhani unajifunza uchawi. Ila nilikosea una tatizo kubwa sana la kisaikolojia hasa baada ya m/kiti kuwa mahabusu.Huyu kijana alidundwa nchini Tanzania , sasa nashangaa tena eti Re match inapigwa tena Tanzania ! kwani mpinzani wake hana nchi ?
Au ni lazima tuvunje mayai njia panda ili tushinde ?
Jifunzeni kuwaandaa mabondia wenu kucheza ugenini , kila siku siyo jumapili , unaweza kudundwa hata mara kadhaa kwenu , Acholile Kachora .
View attachment 2131363
huwa wananiboa sana kwa huo upuuzi tena wakati mwingine mpinzani akipigwa wanashangiliaIla Hyo Dogo Kalegea Mno.
.
Ila watangazi Wa Azam si wanapashwa Kuwa Natural Kwa Nini wanaonekana Wako Kwa Tony Pekee?
Sent using Jamii Forums mobile app
ElimuMwishoni mwa raundi ya 10 Bongan amesukuma mashambulizi ya kikatili sana, kingine hawa watangazaji wanakera "AMBAKATI" ndio nini sasa wanashindwa nini kusema UPERCUT
Waambie DSTV waandae za kwao.Sitaangalia Tena Ngumi kuanzia Sasa zinazoandaliwa na Azam. Ujinga Huu Kabisa [emoji20][emoji20]
Sent using Jamii Forums mobile app
Hayo matokeo nilishayaona tangu mwanzo mkuu