Kwanini Game ya marudiano ya Tony Rashid imefanyika tena Tanzania ?

Kwanini Game ya marudiano ya Tony Rashid imefanyika tena Tanzania ?

Huyu kijana alidundwa nchini Tanzania , sasa nashangaa tena eti Re match inapigwa tena Tanzania ! kwani mpinzani wake hana nchi ?

Au ni lazima tuvunje mayai njia panda ili tushinde ?

Jifunzeni kuwaandaa mabondia wenu kucheza ugenini , kila siku siyo jumapili , unaweza kudundwa hata mara kadhaa kwenu , Acholile Kachora .

View attachment 2131363
Ili Tony ashinde ushindi wa mchongo[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Ila Nitamwambia Huyo Naibu Katibu Mkuu Said Yakubu Huo Ujinga Wauache Kabisa

Sent using Jamii Forums mobile app
Mi nilishaacha zamani nilipe kingiliio kikubwa halafu mshindi alishaandaliwa Leo nimeamua kutokuangalia kabisa japo Tony namkubali sana.
Kambi ziandae vijana waache janjajanja
 
Tony amenikera sana wakati neshno anthem zinapigwa akawa hana time kabisa yaani.....hawa mabondia wawe wanapewa hata kaelimu kidogo kasiviksi
 
Huyu kijana alidundwa nchini Tanzania , sasa nashangaa tena eti Re match inapigwa tena Tanzania ! kwani mpinzani wake hana nchi ?

Au ni lazima tuvunje mayai njia panda ili tushinde ?

Jifunzeni kuwaandaa mabondia wenu kucheza ugenini , kila siku siyo jumapili , unaweza kudundwa hata mara kadhaa kwenu , Acholile Kachora .

View attachment 2131363
Nilidhani unajifunza uchawi. Ila nilikosea una tatizo kubwa sana la kisaikolojia hasa baada ya m/kiti kuwa mahabusu.
Upweke unakutesa
 
Back
Top Bottom