Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Aiseee !!!DAB aka Bashite
Jiwe
Hapa ndipo walipopatana bashite aipoteze YangaJiwe
Siasa za majivuni zimeharibuJapo zimebaki siku 2 tu game hii kupigwa jijini DSM lakini hakuna mzuka wowote mitaani ! huku kwetu Tandika Mwembeyanga mechi kama hizi huchangamsha mitaa hata wiki mbili kabla ya kuchezwa , lakini cha kushangaza safari hii mambo ni kimya kabisa !
Natambua juhudi kubwa sana za media kuhamasisha mchezo huu , lakini matunda yake ni kama hakuna
Kuna nini kinaendelea , wadau wamesusa ?
na kamteka vile vile sema akamrudishaJiwe
Hamu yote ilinishia baada ya kuona sura ya Bashite.Japo zimebaki siku 2 tu game hii kupigwa jijini DSM lakini hakuna mzuka wowote mitaani ! huku kwetu Tandika Mwembeyanga mechi kama hizi huchangamsha mitaa hata wiki mbili kabla ya kuchezwa , lakini cha kushangaza safari hii mambo ni kimya kabisa !
Natambua juhudi kubwa sana za media kuhamasisha mchezo huu , lakini matunda yake ni kama hakuna
Kuna nini kinaendelea , wadau wamesusa ?
Weeee !!!!na kamteka vile vile sema akamrudisha
duuuu ndo furaha yako mkuu? kisa bashite tu? tuabishwe kwetu saba ....hapana aiaeeNaomba tufungwe hata goli saba
Hapana mkuu! Omba tushinde na tufuzu Afcon hayo mengine yatafuata baadae.Naomba tufungwe hata goli saba
Muuza kitimoto anapewaje Uimamu?Hapana mkuu! Omba tushinde na tufuzu Afcon hayo mengine yatafuata baadae.
Umeenda mbali Sana! huo mfano unaonyesha umelikuza Sana hili jambo kupitiliza maana kama Makonda angekua ameteuliwa kuwa kocha hapo huo mfano ungefaa ila kuhamasisha tu huo mfano hauenei vizuriMuuza kitimoto anapewaje Uimamu?
Kama kuhamasisha siyo jambo la maana ni kwa nini wameliundia mpaka kamati?Umeenda mbali Sana! huo mfano unaonyesha umelikuza Sana hili jambo kupitiliza maana kama Makonda angekua ameteuliwa kuwa kocha hapo huo mfano ungefaa ila kuhamasisha tu huo mfano hauenei vizuri