Kwanini Garage nyingi ni CHAFU?

Kwanini Garage nyingi ni CHAFU?

second9

JF-Expert Member
Joined
Jun 22, 2016
Posts
216
Reaction score
451
Habari wakuu wa JF,
Nimeona niandike uzi huu pengine kuna namna wahusika watarekebisha mazingira yao ya kazi kwa wateja.

Kwa muda mrefu nimekuwa nikijiuliza hili swali kwanini garage nyingi ni chafu sijawahi kupata majibu. Yaani unaweza kupeleka gari inaugonjwa mmoja ikatoka na ugonjwa mwingine. Unakuta fundi ni mzuri sanaa ila yupo garage chafu kweli kweli vumbi kila kona.

Hii ni sawa na kwenda hospitali kutibu Malaria then unatoka na kipindupindu kutokana na mazingira machafu ya hospitali.

Wenye hizi garage tujirekebishe🤧
 
Habari wakuu wa JF,
Nimeona niandike uzi huu pengine kuna namna wahusika watarekebisha mazingira yao ya kazi kwa wateja.

Kwa muda mrefu nimekuwa nikijiuliza hili swali kwanini garage nyingi ni chafu sijawahi kupata majibu. Yaani unaweza kupeleka gari inaugonjwa mmoja ikatoka na ugonjwa mwingine. Unakuta fundi ni mzuri sanaa ila yupo garage chafu kweli kweli vumbi kila kona.

Hii ni sawa na kwenda hospitali kutibu Malaria then unatoka na kipindupindu kutokana na mazingira machafu ya hospitali.

Wenye hizi garage tujirekebishe🤧
Garage za kisasa nyingi ni safi sana
 
umeenda ila au?

unatumia gari Gani ambayo ukienda gereji chafu inabeba ugonjwa?

niugonjwa Gani huo mkuu?
Ni mara nyingi nikienda sipendezwi na mazingira.

Sio kila mara gari inatoka na ugonjwa mkuu, Ila hivi karibuni nilipata ajali nikaacha jamaa wanyooshe gari na kupiga rangi nilipoenda kufata nakuta rangi ya gari ya nje ipo baadhi ya maeneo ya ndani.

Wametumia maji ya wipers yote na kioo cha mbele kimetoka na mikwaruzo hii ni Subaru Forester mkuu.
 
Ni mara nyingi nikienda sipendezwi na mazingira.

Ila hivi karibuni nilipata ajali nikaacha jamaa wanyooshe gari na kupiga rangi nilipoenda kufata nakuta rangi ya gari ya nje ipo baadhi ya maeneo ya ndani.

Wametumia maji ya wipers yote na kioo cha mbele kimetoka na mikwaruzo hii ni Subaru Forester mkuu.
ok ingekua ni ford ranger au range ningekualika ofisini nikutengenezee
 
Uchafu wa Garage unatokana na uchafu wa Mafundi
Fundi anafanya kazi hana lapulapu Mkononi Simu ikiita anajifutia kwenye body ya Gari ili apokee simu
 
Habari wakuu wa JF,
Nimeona niandike uzi huu pengine kuna namna wahusika watarekebisha mazingira yao ya kazi kwa wateja.

Kwa muda mrefu nimekuwa nikijiuliza hili swali kwanini garage nyingi ni chafu sijawahi kupata majibu. Yaani unaweza kupeleka gari inaugonjwa mmoja ikatoka na ugonjwa mwingine. Unakuta fundi ni mzuri sanaa ila yupo garage chafu kweli kweli vumbi kila kona.

Hii ni sawa na kwenda hospitali kutibu Malaria then unatoka na kipindupindu kutokana na mazingira machafu ya hospitali.

Wenye hizi garage tujirekebishe🤧
Na vyoo haviingiliki
 
Usiseme Garage nyingi chafu sema Garage tunazotumia sisi nchi za Dunia ya tatu kwa nini ni Chafu?
Majibu ni yale yale tu ya Sekondari Paste tu hapo.
 
Wengine wanaona sifa kujisiliba oil chafu na kuvaa overall
Huwa wanajiona ndio fani yenye heshima sana duniani
Ukiona garage za nje na hata baadhi utakuta garage safi kuliko hospital na mechanic kavaa koti jeupe haha
Hebu ona hii imefanana na moja nilipeleka gari kutibiwa
Laptop tu zinaangalia maradhi ya gari
Na wanatibu palepale sio makanika wa huku anatengeneza honi anataka akaendeshe barabarani kabisa
Screenshot_20241006_204232_Google~2.png
 
Back
Top Bottom