second9
JF-Expert Member
- Jun 22, 2016
- 216
- 451
Habari wakuu wa JF,
Nimeona niandike uzi huu pengine kuna namna wahusika watarekebisha mazingira yao ya kazi kwa wateja.
Kwa muda mrefu nimekuwa nikijiuliza hili swali kwanini garage nyingi ni chafu sijawahi kupata majibu. Yaani unaweza kupeleka gari inaugonjwa mmoja ikatoka na ugonjwa mwingine. Unakuta fundi ni mzuri sanaa ila yupo garage chafu kweli kweli vumbi kila kona.
Hii ni sawa na kwenda hospitali kutibu Malaria then unatoka na kipindupindu kutokana na mazingira machafu ya hospitali.
Wenye hizi garage tujirekebishe🤧
Nimeona niandike uzi huu pengine kuna namna wahusika watarekebisha mazingira yao ya kazi kwa wateja.
Kwa muda mrefu nimekuwa nikijiuliza hili swali kwanini garage nyingi ni chafu sijawahi kupata majibu. Yaani unaweza kupeleka gari inaugonjwa mmoja ikatoka na ugonjwa mwingine. Unakuta fundi ni mzuri sanaa ila yupo garage chafu kweli kweli vumbi kila kona.
Hii ni sawa na kwenda hospitali kutibu Malaria then unatoka na kipindupindu kutokana na mazingira machafu ya hospitali.
Wenye hizi garage tujirekebishe🤧