tumpe tu mkuu ila ubaya wake ni ulumumba hta mm simkubali kabisa.Nimekupa like lakini wew sikukubali kabisa
[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13]Mtoto wa kiume unamuogopa mwanaume mwenzio kisa vichambo... Uko sawa kweli kijana??
Umekuja Kujipa Promo na ID Nyingine sio!GENTAMYCINE
Huyu jamaa huwa anaserereka na kutiririka vidonge/vichambo vilivyo tukuka kwa ufundi na ustadi wa hali ya juu kama ‘MOSSAD’ hali inayofanya kuwa salama dhidi ya ban!!
Haya na nyinyi mserereke na kutiririka kwa nini humjawahi mchokoza??
Akili sijui HawanaNaona umekuja na id yako ya pili kujisifia, umekwama mama wewe
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Anajua KujipendekezaHuyu jamaa GENTAMYCINE ni Muha wa Kigoma ametokea maeneo ya Kakonko alikuwa anaishi kwenye kambi za wakimbizi sijui dar alifikaje huyu jamaa...
CV yake kwa ufupi ni MNAFIKI kiwango cha juu kabisa kuwahi kurekodiwa..
Wenye more Info watakuja kujazia nyama kuhusu huyu jamaa
Ukikutana nae mwambie yeye ni KIAZi tu kama viazi wengineMguse sharubu aje akusererekee hapa mbona utafurahi!!