Kwanini gentamycin namuogopa kumjibu vibaya?

Mimi bibafsi namkubali jamaa na kumuweka kwenye kundi la GT, matusi anayo kama tu wew pia ukija kihivyo. Mimi nimeshamkosoa sana tu kwenye nyuzi zake au michango yake lakini huwa ananijibu kistaraabu kwa kuwa pia ukosoaji wangu huwa wa kistaarabu. Jamaa yuko vizuri hata kama humpendi.
Over
 
KT hakuna upuuzi kama huu, nadhani Bongo tunaongoza kwa kuitumia mitandao kwa umbeya na kuongelea vitu ambavyo siyo basic.

Hii topic ni mfano wake.
 
Umekuja Kujipa Promo na ID Nyingine sio!
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Anajua Kujipendekeza
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…