Haha mkuu agiza safari ndogo nakuja kulipaMwanaume hana muda wa kuchambana na mwanaume mwenzie, tunagonga like kwenye like tunatia point tunajadili critically, MEN THINKS..WOMEN TALKS, choose your side carefully then mtafute gentamynini sijui mkachambane
HahaaaaBasi wewe ni mweupe sana kichwani ndo maana kila anchoongea ni kipya kwako halaf vingi tu anaongeaga mashudu..hujawahi kukuta anasulubiwa mpaka anatingisha tingisha matako huko?
hahaha haha humu Jf kuna watu wasee........""*,!Mkuu wapi ulimkuta GENTAMYCINE anasurubishwa mpaka anatingisha matako??
ha ha haha cc. cocochaneltumpe tu mkuu ila ubaya wake ni ulumumba hta mm simkubali kabisa.
Aissee "" hahaha "" genta amelelewa "" ikulu wewe ""!!!! !?? ....Huyu jamaa GENTAMYCINE ni Muha wa Kigoma ametokea maeneo ya Kakonko alikuwa anaishi kwenye kambi za wakimbizi sijui dar alifikaje huyu jamaa...
CV yake kwa ufupi ni MNAFIKI kiwango cha juu kabisa kuwahi kurekodiwa..
Wenye more Info watakuja kujazia nyama kuhusu huyu jamaa
haha hahaha ....ila sio poa aiseee ifike mahali tuwe tuna vumiliana"" sidhani "" kama genta " amekuwa kikwazo "" cha watu Humu ndani "" sio fresh aiseee... kila siku genta anasemwa "" Humu " inaumiza mnoooo"" kumsema sema bila sababu zenye tija "" ifike mahala tuwe na roho zenye utuCoz anaweza kuwasererekea hadi wakakimbia kompyuta zao
Mkuu naona umekuja na id nyingineGENTAMYCINE
Huyu jamaa huwa anaserereka na kutiririka vidonge/vichambo vilivyo tukuka kwa ufundi na ustadi wa hali ya juu kama ‘MOSSAD’ hali inayofanya kuwa salama dhidi ya ban!!
Haya na nyinyi mserereke na kutiririka kwa nini humjawahi mchokoza??
Mkuu hao moderators wenyewe hawatuwezi!! Nasikia kitufe cha ban kilipotea......Huu uzi utajaa matusi sasa hivi maana moderator siku hizi wanaacha watu wanatukana..ni upuuzi kutukana kila mtu.. Maxence Melo kwanini mnaacha watu wanajinasibu wanajua kutukana na wanatukana watu hovyo tunaelelekea wapi..? Na moderator wanaacha wanatukana
Wanaume wa dar haoUnaanzaje kumuogopa mwanaume mwenzako. Acha uoga wa ovyo.
Dah ID yako nyingine hii wewe jamaa aiseeGENTAMYCINE
Huyu jamaa huwa anaserereka na kutiririka vidonge/vichambo vilivyo tukuka kwa ufundi na ustadi wa hali ya juu kama ‘MOSSAD’ hali inayofanya kuwa salama dhidi ya ban!!
Haya na nyinyi mserereke na kutiririka kwa nini humjawahi mchokoza??
Naona umekuja na id yako ya pili kujisifia, umekwama mama wewe
Uzi wa kimamamamaGENTAMYCINE
Huyu jamaa huwa anaserereka na kutiririka vidonge/vichambo vilivyo tukuka kwa ufundi na ustadi wa hali ya juu kama ‘MOSSAD’ hali inayofanya kuwa salama dhidi ya ban!!
Haya na nyinyi mserereke na kutiririka kwa nini humjawahi mchokoza??
Bila kumuongelea Genta siku haziendi