Kwanini gesti?

Kwanini gesti?

Maybe its just convinience, chochote ambacho kipo karibu na ni muafaka kwa wakati huo, Nice Hotel (kubadilisha mazingira), kwa msichana (kumtembelea na kuenjoy dinner, kulala siku au weekend nzima, n.k.), Kwa mwanaume (kumtembelea na kuenjoy dinner, kulala siku au weekend nzima n.k.), Nearest Nyumba Guest House (Labda nyumbani mama mwenye nyumba ana matatizo na baada ya kunywa moja moto moja baridi kwenda nyumbani ni mbali).

Nadhani hizo zinaweza zikawa ni sababu, Pia kwa wanawake na wanaume labda wengine wanaogopa mwenzao asije akahamia kabisa au akaomba duplicate key 🙂

Nadhani nimecover all angles
 
Ngoma ya kitoto haikeshi, hulala 🙂
 
Siku hizi kuna aina tofauti za mahusiano jamani
Yapo mahusiano ya watu kufanya mapenzi tu
Yapo mahusiano ya watu kwenda kujirusha beach, club n.k tu


Kwahiyo sio lazima kila kitu mpaka mpelekane majumbani mwenu
 
Kwa hiyo nikikupeleka kempisky nimedharau mwili wako?

Not necessarily ila inawezekana sitakua na maana sana kwako ndo maana unaona sistahili kufika kwako!
 
Utakimbia wewe na Rev Masanilo.....nitahakikisha hamlali na JF hamuonekani wiki nzima.....jana kidogo nipate maximun satisfaction wolves walipofunga Man U....ila ile sare inaniuma sana.....leo nafikiri nitafika juu ya mlima......lol:laugh::laugh::laugh:
Subirini tu leo nitawatafuta kwa udi na uvumba usije ukakimbia michelle lakini
 
Sasa kukupata wewe si ndo special ocassion yake au?

Kuna wanaoamua kusherehekea hiyo special ocassion kwa kukupeleka Kempinsky na kuna wenye kutumia uwezo wao na kukufikisha Guest. 🙂

Besides the business is good for the economy
Business wise it is a good thing!Relationship-wise not so much labda kama ni mara moja moja au mnachezeana tu kwahiyo anapokaa hustahili/hufai kufika!
 
Not necessarily ila inawezekana sitakua na maana sana kwako ndo maana unaona sistahili kufika kwako!

Sio kwamba naogopa usione maisha yangu duni, kwahiyo naogopa kwamba you are too good for me na hustahili kufika kwangu ?
 
Subirini tu leo nitawatafuta kwa udi na uvumba usije ukakimbia michelle lakini

mimi sikimbiagi nina roho ngumu sana kwenye soka hujui tu.....kushabikia Arsenal yataka moyo......ndo huo sasa.....pamoja sana leo TF
 
Lizzy kumbe nawe washabikia tinejaz? Umesahau wahenga walisema ngoma ya watoto hailali
Wapi tena?Mi hata timu sina...hua nasupport ya anayeangalia nikiwepo!
 
Not necessarily ila inawezekana sitakua na maana sana kwako ndo maana unaona sistahili kufika kwako!
Lizzy may be cjakusoma vizuri hapa unamanisha kupelekwa kempisky cku ya kwanza au kila mnapokutana?
 
Siku hizi kuna aina tofauti za mahusiano jamani
Yapo mahusiano ya watu kufanya mapenzi tu
Yapo mahusiano ya watu kwenda kujirusha beach, club n.k tu


Kwahiyo sio lazima kila kitu mpaka mpelekane majumbani mwenu
Sasa hapa ndo nataka nijue...ina maana kupelekwa guest tu inaweza kua definition ya uhusiano wenu sio?
 
Kuna mtu mwengine anafurahia kupelekwa Guest kwa kuwa anaondolewa kwenye yale mazingira yake duni ya kila siku.

Mtu anaeishi nyumba ya kupanga isiyo na dari, akamtamani mpenzi wake mchana jua la utosi, warudi nyumbani kweli?

Fikiria kwa uhalisia wa mambo sio kwa kipimo cha hali ya maisha yako wewe.


Business wise it is a good thing!Relationship-wise not so much labda kama ni mara moja moja au mnachezeana tu kwahiyo anapokaa hustahili/hufai kufika!
 
wengine mageto yana viroboto na kunguni bana! tunaepuka lawama

gesti ni ubwete lawama zote unaitupia gesti.
 
Sio kwamba naogopa usione maisha yangu duni, kwahiyo naogopa kwamba you are too good for me na hustahili kufika kwangu ?

Sasa hapa kama unaona i'm out of your league kwanini uwe na mimi?Kujiamini muhimu bwana..mtu akikukubali akukubali wewe kama mtu na sio kwa kitu!
 
Nimeona malalamiko na matukio kibao yanayotokea nyumba za wageni yakiletwa humu!Wengine utawagundua ni maInfii kwahiyo hawawezi kupelekana nyumbani ila wengine ni mabachela!Sasa kwa hawa walio single kwanini hua wanapelekana gesti na sio kwenye makazi yao?Jinsi mtu anavyo-value uhusiano inachangia...au ndo inaonyesha kwamba hamna uhusiano pale wala heshima kwa kiasi fulani?Binafsi hua nafikiria mwanaume mpaka akupeleke gesti anakua amekudharau sana!Embu kakaz mtuambie...ni kwanini?

Hivi umewahi kujiuliza ni kwanini Sinza na Mikocheni kuna lodge za kumwaga sasa hivi? Bahati mbaya kama umeoa au kuolewa, huwezi kubeba mzigo wa barabarani ukaupeleka nyumbani ukabaki salama! Na kwa kweli watumiaji wakubwa wa nyumba za wageni ni watu waliooa au kuolewa, hilo halina ubishi maana ukibisha itakuwa kuendeleza ligi isiyo na tija.
Kwa mabachelor, labda bado kula kulala kwa baba yako...utaendaje na girlfrind sasa!
 
Lizzy may be cjakusoma vizuri hapa unamanisha kupelekwa kempisky cku ya kwanza au kila mnapokutana?
Kila mnapokutana!Yani kwako ni mwiko hata kuongelea!
 
Sasa hapa kama unaona i'm out of your league kwanini uwe na mimi?Kujiamini muhimu bwana..mtu akikukubali akukubali wewe kama mtu na sio kwa kitu!

Probably with time utazoea polepole..., siwezi mwanzo mwanzo nikaanza kwa kuonyesha weakness ukinikimbia tafanya nini mie??
 
Jf ndo humalza stress zangu,huwa nafurai,memberz wana michango haswa,but guest labda kwa nje cup
 
Back
Top Bottom