CPU
JF-Expert Member
- Jan 13, 2011
- 3,858
- 687
VoR yani nikae nikisubiria mpaka uzitafute wakati mi nataka leo?Kesho ntavaa nini kuwaringishia mashoga zangu?Poda ya kujipara ntapata wapi?Acha mchezo wewe...wa pesa zikiisha au akigundua hamna anapotea!Nna rafiki aliyeolewa kwa pesa..mambo yalipomwendea mwenzake vibaya akakimbia mpaka mtoto akamuacha...sembuse mimi ambae sina kinachotuunanisha?
mvumilivu hula mbivu mamiiiii