Wala jamani!Ila nataka wafanyakazi wake wapewe break kidogo ya kufua na kuwatandikia vitanda siku wakiamua kupumzika nyumbani!Klorokwini naona Lizzy anataka kuondosha faif star ya uswazi.
Ujue wengine guest ina hadhi kaa Holiday Inn kwao π)
alafu we quinty shauriro mi siseme!Uliza pia na hii mikoa yetu ya we niangusage tu...dhambi utapataga...mtafikishana vp guest au nyumbani zaidi ya vichakani
kwahiyo ni vema kama ukijenga plan ya kupelekana polepole step by step mpaka mnapojuana vema.., siwezi siku ya kwanza tu nikakwambia kwamba Osama ni Babu yangu na Bibi yangu ni mchawi mkubwa kijijini kwetu.., ila with time takwambia hayo yote.
Nakubali ila katika hicho kipindi cha kupelekana gesti kama sipati hali yako halisi (unanificha)huoni kwamba ntakua najijengea picha nnayoijua mimi ambayo inaweza kuwa tofauti sana na hali yako!
Hehehe..kama hivyo ndivyo unavyoishi basi nipeleke huko huko!Mimi nalala kwa kuhama hama, sometimes nalala kwa marafiki, stendi ya basi, gesti za uswazi mara moja moja . . . n.k.
Sasa kama nataka nitoke na wewe Lizzy unataka nikupeleke wapi ili uone ndio hadhi yako?????:coffee::coffee:
Hehehe..kama hivyo ndivyo unavyoishi basi nipeleke huko huko!
Kumbe ehh...sawa na jibu langu kwenye swali lako la 'kwani wanawake hawana say'
Kukusoma kila siku kwani umeandikwa kwa kiLatin?Tukiacha mzaha jamani, naomba akina dada waelewe kwamba mwanaume kukupeleka guest sio kwamba amekudharau
Mwanaume ana mbinu nyingi za kusoma akili ya mwanamke wake, tena sometimes mwanaume anaweza akakupeleka gesti makusudi ili aone utaropoka au la, na ukiropoka tu baaaaasi . . . . atajua wewe hujafuata mapenzi kwake, bali una mengine
Tukiacha mzaha jamani, naomba akina dada waelewe kwamba mwanaume kukupeleka guest sio kwamba amekudharau
Mwanaume ana mbinu nyingi za kusoma akili ya mwanamke wake, tena sometimes mwanaume anaweza akakupeleka gesti makusudi ili aone utaropoka au la, na ukiropoka tu baaaaasi . . . . atajua wewe hujafuata mapenzi kwake, bali una mengine
Na huyo anaeishi kwenye nyumba ya aina hiyo na pesa ya gesti kila siku hana na mimi naishi hivyo hivyo kwahiyo kwangu hakuna unafuu?Since hayo ndo maisha halisi kwa wengi wao hawastahili?hivi kweli you will rather go to a shared house ukimaliza shughuli ukaoge kwenye choo cha pamoja kuliko kwenda guest house ukajihifadhi walau kidogo?
(unless unambie ukimaliza shughuli unakurupuka hivyo hivyo no kuoga π )
hivi kweli you will rather go to a shared house ukimaliza shughuli ukaoge kwenye choo cha pamoja kuliko kwenda guest house ukajihifadhi walau kidogo?
(unless unambie ukimaliza shughuli unakurupuka hivyo hivyo no kuoga π )
Vipimo vingine ni vya kijinga??mapenzi hayapimwi hivyo labda na wasio na ujuzi wa kupima akupendaye na asiyekupenda.....:laugh::laugh:
Sometimes you are defined as bn cheap,na mwanamume anayefanya vipimo vya namna hiyo hajakua vizuri:sick: