Kwanini gesti?

Pamoja Michelle.. hatuhitaji kupiga makelele kila mtu asikie. Jana ilistahili tushinde basi tuu hawa vijana walitukomalia.

Ila tutapambana hadi kieleweke.....huu mwaka yabidi tufanye kazi ya ziada....pamoja sana wangu!!!
 
Michelle hebu tupe muongozo wa huo usalama unaouzungumzia, maana ni nadharia pana.

Mwengine anaweza kufikiri usalama ni kwenye mambo ya afya (nilivyodhani mimi) na mwengine akafikiri kwenye mambo ya security n.k
 
Hupaswi kusema kila kitu chako halisi kwa mpenzi wako ambaye bado upo nae ktk misingi ya kutambuana, huo ni udhaifu mkubwa sana
na utakuwa umejirahisisha sana kwa mwezi wako mapema mnoooo
Mpaka umwite mtu mpenzi wako bado hujamuamini tu?
 
Na hapa hili tusitoke nje ya mada nasisitiza mimi ninachobishia ni kwamba :-
Mwanaume anapokupeleka Guest Sio Lazima kwamba hakupendi au amekudharau, Probably kuna sababu nyingi za msingi ambazo motive yake ni Mapenzi kwako.....
 
Unaweza mpeleka kwako akang'ang'ania , hatoki, na akakuomba ufunguo wa ziada ili awe huru na kuleta marafiki zake bila wewe kujua. Mkikwaruzana hapo ndo utajuta
 

Labda kama unazungumzia watu ambao wanaibia mapenzi ya wenzao . . . . labda useme unazungumzia usalama upi???
Lakin pia kama unajua unaetoka nae ni mtu ambaye ana kipato cha chini, na wewe kama mwanamke unajua wazi mwenzako hawezi mudu kukupeleka gesti za uswahilini, basi kama kweli wewe una mapenzi ya dhati kwake amua umpeleke kwako au chagua gesti nzuri ambayo ieither mtasaidiana kugharamia au utagharamia wewe mwenyewe
 
He he umenikumbusha nilishawahi kusikia msemo eti "Umeadimika kama ma**ko ya nyoka"!. Jamaa aliniacha mbavu sina he he!.
 

kama na initiate mimi nitakuwa najua pa kufanyia na nitakupa options pale utakapopenda nitajitahidi twende hapo....so kumbe na nyie mna sehemu ambazo msingependa kukumbuka kuwa mli spend first night yenu???good to learn...
 
Yaani nianze tu kukuambia maisha yangu halisi hivi hivi tu . . . . . tena zama hizi ambazo ukimwambia kitu halisi mwanamke anaweza akaona mwanaume anajipandisha ili ampate kiurahisi
Well kuniambia mshahara wako au kibenz chako ulinunua sh. ngapi nayo sio guarantee kwamba utanipata!Ila kuonyesha upo juu zaidi ya ulivyo inaweza kua ticket ya mtu kukuacha!Kwa hiyo kama unakaa kwenye chumba cha buku 20 a mon na kunipeleka gesti ya buku 5-10 mara 2 kwa wiki ni kunipotosha
 
Na hapa hili tusitoke nje ya mada nasisitiza mimi ninachobishia ni kwamba :-
Mwanaume anapokupeleka Guest Sio Lazima kwamba hakupendi au amekudharau, Probably kuna sababu nyingi za msingi ambazo motive yake ni Mapenzi kwako.....
kamanda mimi leo nakugongea senks wewe na gaijin tu. yaani kwa mapwenti haya leo michelle na lizzy lazima waombe razi
 
Na hapa hili tusitoke nje ya mada nasisitiza mimi ninachobishia ni kwamba :-
Mwanaume anapokupeleka Guest Sio Lazima kwamba hakupendi au amekudharau, Probably kuna sababu nyingi za msingi ambazo motive yake ni Mapenzi kwako.....

Hili ndio ambalo wadada zetu hapa hawataki kukubali, wao wanamtazamo wao wa kusoma akili za mwanaume ambazo sometimes they are wrong, and even if told they dont accept
Wanasema hata kama una sababu za msingi basi zitaonekana za kijinga
 
Tatizo ni kwamba hamna guarantee!Unaweza kuniandaa sana,tena ukatumia sh. nyingi kweli kwangu alafu mwisho nikakukimbia!Mi naona bora ushindwe mchezo bila kutumia nguvu nyingi na pesa kuliko kuwekeza muda na pesa na bado ukashindwa!

Atleast I gave it a try and a fight..., no one goes into battle akitegemea kushindwa, so instead ya kucheza magarasha yangu kwanza, I will try to have an ACE on my Sleeve, do everything in my power to get kipenzi cha maisha yangu.
 
Kuna wanaofanya kuridhisha nafsi za wanaume zao au kutafuta kukubalika kwa kuonekana wanaweza lala popote na kuhimili maisha yeyote..

Apart from mental and physical abuse..., materialistic hivi kuna binadamu ambaye hawezi kuhimili maisha yoyote?
 
Hili ndio ambalo wadada zetu hapa hawataki kukubali, wao wanamtazamo wao wa kusoma akili za mwanaume ambazo sometimes they are wrong, and even if told they dont accept
Wanasema hata kama una sababu za msingi basi zitaonekana za kijinga
hapo red nasisitiza , "kila ukiona humuelewi mwanamke ujue ndio unamuelewa" , mwisho wa kunukuu. tuendeleeni na mjadala
 
Michelle hebu tupe muongozo wa huo usalama unaouzungumzia, maana ni nadharia pana.

Mwengine anaweza kufikiri usalama ni kwenye mambo ya afya (nilivyodhani mimi) na mwengine akafikiri kwenye mambo ya security n.k

Nazungumzia usalama generally....natoa mfano: kuna guest house nyingine hazina maji na si safi....so na ile michubuko yako after sex unaenda kuoga kwenye ndoo isiyo safi na pengine maji yasiyo safi.......pili,kuna guest house tumesikia wamevamiwa au zile guest bubu...ziko kama nyumbani kwa mtu hakuna ulinzi ni watu tu waingia na kutoka! kuna guest house kama zile wanakupa muda wa kulala yaani unalipia kwa masaa. na 24/7 wako busy watu wanaingia unakuta kuna receptionist,kijana wa mlangoni na mfanya usafi wa kurashia...nothing else..hivi hata comfortablity unatoa wapi na huyo unayedai mnapendana?kupendwa na kufanya tendo lazima kuwe katika mazingira salama...
 
Klorokwini

Kuna watu Manzese hajawahi kufika mitaani anapaona kwa barabarani tu, huyu ukimchukua guest lazima aseme umemdharau, lakini wale wa uswazi aaah wala hawapati tabu. Angalau atapepewa na feni na maji ya kuoga sio ya kupigia hesabu. 🙂
 
Na hapa hili tusitoke nje ya mada nasisitiza mimi ninachobishia ni kwamba :-
Mwanaume anapokupeleka Guest Sio Lazima kwamba hakupendi au amekudharau, Probably kuna sababu nyingi za msingi ambazo motive yake ni Mapenzi kwako.....
Kama zipi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…