Wale magwiji na wachambuzi wa elimu ya masuala ya ufundi dimbani,naomba mnijuze juu ya suala hili ambalo goal keeper wa yanga huenda kwenye nguzo za goli hushika na kuchezesha miguu pamoja na kuyageuzia makalio,kitendo hicho humaanisha nini?
Karibuni wanajangwani nyuma mwiko mbele daima
Karibuni wanajangwani nyuma mwiko mbele daima